Naona burudani inaendelea. So funnynitakosea nikutaka kujua umri wako mkuu! yaan wewe unahis ukigusa kizaz ndo unamfikisha hahahahahhhah
Atakuwa ametembelewa na jini mkata kamba.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unataka kuguswa njoo PM nkuguse plzsasa unataka umguse ili iwaje!
tunapokidadavua hivi, hatumaanishi kwamba tutakuwa tunakiexperience, basi tufanye ile ya kukomoa, hapana, nataka nijue kwa faida tu.Na mnapokichokonoachokonoa hvo mtasababisha watu wapate canser ya kizazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unataka kuguswa njoo PM nkuguse plz
hapo sina uhakika wa kuelezea vizuri mkuu.Kwani kizazi ni nini na yai la mwanamke ni nini?
from Katesh using Siemens C55
dhumuni nataka niwe najua kukisense kwa kutumia dushe. Hiyo ndiyo sababu kuu, nataka nikijue kwa kukisense kwa kutumia dushe, umeelewa?nisome fresh mkuu !nimemuuliza aguse ili iwaje yaan kitokee nini ! rudi kwenye mada
dhumuni nataka niwe najua kukisense kwa kutumia dushe. Hiyo ndiyo sababu kuu, nataka nikijue kwa kukisense kwa kutumia dushe, umeelewa?
utani mwingi tatizo, kidogo unachekacheka, kila saa unachekacheka.hahahah we kiboko aisee ! haya mkuu
utani mwingi tatizo, kidogo unachekacheka, kila saa unachekacheka.
shukrani sana mkuu.Asee huwezi kugusa mayai ya mwanamke hata uwe na mkuyenge mrefu kiasi gani.
kwa Anatomy ya mwili wa mwanamke ni kwamba ukiwa na mkuyenge mrefu sana utaishia kugusa cervix, yaani shingo ya uzazi. Tusidanganyane mayai kutoka kwenye ovary huwa yanaachiwa na kuingia kwenye mirija fallopian, (fallopian tube).
Wala huwezi gusa chochote zaidi ya shingo ya uzazi ambayo huwa ina vihisi vya maumivu vingi na ndo mana mwanamke husikia maumivu makali endapo utagusa Sehemu hii.
Nawatakia tafakari njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda anajua kizazi kilipo ndipo utamu uponitakosea nikutaka kujua umri wako mkuu! yaan wewe unahis ukigusa kizaz ndo unamfikisha hahahahahhhah
Bila shaka huna kibamia[emoji39]Ukiwa unajamiiana unafika mahali ukiingiza sn dhakari unagota mahali, nae anackia maumivu sana..nawe unackia kbs umegusa gololi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pakuanzia kwenda wapi..?! Hapo ndo mwisho wa huu uzi maana jibu ndo hili.shukrani sana mkuu.
Umetupatia mwanga wa pa kuanzia.