Hii mada mnajadili kitu kinaitwa VIA vya Uzazi.
Via vya uzazi ni viungo vinavyohusika na uzazi.
Kuna aina mbili ... Via vya kike na kiume.
Hutambuliwa kwa makundi mawili yaani Via vya ndani na Via vya nje.
Sasa kwa mwanamke.
Via vya nje
- Mashavu (Labia Major and Minor)
- Kisimi (critoris hasa anapotoa maji ya furaha yake - kupiz)
Via vya ndani
- Uke (tundu la uke linalopitiwa na uume )
- Shingo ya kizazi (Cervix- tundu dogo ambalo ndio mwanzo wa kizazi / Uterus ambalo hupitisha mbegu ya kiume, damu ya hedhi, mtoto anaezaliwa nk
Hii shingo ya kizazi ipo juu ya uke kwa ndani hivyo unapofanya majamiiano unaweza igusa - inamaumivu hata kizazi kinaposafishwa huguswa na inamaumivu hata wakati wa vipimo kama saratani ya shingo ya kizazi huwasababishia maumivu.
- Kizazi (uterus) hii ni nyumba ya mji wa mimba. Nje ya kizazi kwa pembeni (right&left sides ) kuna mfuko wa mayai (ovary) na juu ya kizazi kuna mirija ya mayai (fallopian)
Hivyo yai hutoka kwenye mfuko wa mayai hurukia kwenye mirija. Hukaa hapo kusubiri mbegu yaani week ya pili tangu headhi. Mimba hutungwa hapo kwenye mirija ndipo hushuka kwenye mji wa mimba kulelewa.
Mbegu isipo lifikia yai. Hushuka kwenye mji wa mimba na kupasuka ndio hedhi.
Dr.M.
Sent using
Jamii Forums mobile app