Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
ukimpenda utamuoa tu
Good point bujibuji, tena waliojeruhiwa huko nyuma tend to be good wives.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukimpenda utamuoa tu
Kama suala la kuzaa ndilo linakufanya kuona kuwa huyo mwanamke si wa peke yako, unalichukuliaje suala la kuoa mwanamke ambaye sio bikra?
Hiyo siyo issue, anaweza akawa hana mtoto na akawa si wa peke yako vile vile. Kinacho-matter ni upendo wa kweli - Kama kweli unampenda ......., Na wanawake nao wawachukuliaje wanaume wenye watoto wa zamani.
<br />Kama kuna uwezekano wa kutumua mbio nitasepa.<br />
<br />
mwanamke mwenye mtoto ni noma (sorry kwa wale watakaokwazika)!!<br />
<br />
Babu DC (1947)
<br />
<br />
duh! Ila wanaume wa siku hizi hata amkute mwanamke ana watoto wawili yupo tayari kuoa. Nyie mababu wa kale vipi?
Wanaume kwa kujipendelea, kufaidi mfaidi wote, then kulaumiwa analaumiwa aliyehifadhi kiumbe kwa miezi tisa