Mwanaume unaombaje Pesa?

Mwanaume unaombaje Pesa?

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Yaani mtu mzima, huna ulemavu ila unapenda starehe; pombe, wanawake ila kutwa kupiga mizinga ili iweje? Mbona mnataka tutende dhambi? Msitujaribu zama hizi.

NB: ukimpa ofa, akifika bar anaagiza vinywaji vya Bei mbaya huku mishipa you're imemlegea. Tusitafutane ubaya ndugu zangu
 
Bora hata tunao omba pesa zakubetia ahahah..ila inategemeana unaemuomba ni nani kwako kama ni demu wako hapo unakwama watakua wanakupigia na kumuhonga then anakuletea wew atakuja siku akushushe viwango hahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yupo dogo mmoja kutwa stories za kula bata ila anagongea lunch, lift, pombe juzi kati anadai anaomba nimboost laki 2 hana kitu
 
Vijana fanyeni kazi achaneni na starehe
 
Wanakera sana watu wa design hii, unakuta kijana ana nguvu kabisa wengine wababa watu wazima ila kila ukikutana nao road ni kuombana hela kila wakati kana kwamba watu wana migodi ya fedha
 
Sure aisee kuna mchizi wangu yeye Akipata pesa dakika pombe mademu alafu anakuja kunikopa.( ALAFU WATU WAHIVI HELA ZAO WAO NIWACHOYO KINYAMA).


Mwezi wapili kanipigia simu usiku wa SAA saba , oya mwanangu G oyaaa nimekwama Man, nitumie Laki na hamsini.

Nkammchengaaaaa lkn kakomaa TU imefika SAA nane nikamuonea huruma, ilikua siku ya Jumatano.

Mpaka akanifata Job , basi nikamwambia hapa Nina 120 tu , nkampa . kwa makubaliano ya kunirudishia Jumamos.

Mazeee mpaka Leo Kaacha kunitafuta, Hela haja nipa, nilimdai wee Nmeamua kuacha, nimefuta na namba, URAFIKI UMEKUFA.

Namsubiri Siku ajichanganye mamaeee!!. Pesa yangu Unatumia Kupombeka na mademu alafu unanichenga?.

Bora umkopeshe Demu, akikoswa anakupa Mzigo unajipooza .

"What is yours will always be yours no matter what "
 
Alafu kuna watu hawana kabisa Mfupa Aibu...

Akija kwangu kama kuna kitu amekipenda anakuomba umpe sijui ana mgeni unampa...HAKIRUDI.

Yaan Jamaa kafanya nmenunua upya vitu sababu ya kuniadhima alafu harudishi.

"What is yours will always be yours no matter what "
 
Serikali iliyokuajiri, huo mshahara unaolipwa ni wa kuomba kwa nchi wahisani. NGO zote kazi yao ni kuomba omba kila siku kwa wazungu.
 
Back
Top Bottom