Chawa wa mama katika one and twoππNaona mbunge mtarajiwa umeamua kudiskasi mambo ya uchi...
Anyway, mwanadamu alizaliwa uchi na atarudi kwa Muumba akiwa uchi hivyo hata akilala uchi sio kitu cha ajabu...
Umemchungulia nani ukayajua yote hayo? Au mlianzaje kuongelea mada ya namna hiyo?Huo ujasiri wa kuchojoa nguo zote hadi za ndani mnautoa wapi na unakoroma kabisa dah aise?
Mmewajazeje ndrugu zangu wanaume?
Na je, ni vizuri au vibaya?π
π πChawa wa mama katika one and twoππ
Kama sio mazingira "yetu" mtu anaweza ila binafsi bila bila hapana, kwanza......
Chawa wa mama katika one and twoππ
Kama sio mazingira "yetu" mtu anaweza ila binafsi bila bila hapana, kwanza......
Huo ujasiri wa kuchojoa nguo zote hadi za ndani mnautoa wapi na unakoroma kabisa dah aise?
Mmewajazeje ndrugu zangu wanaume?
Na je, ni vizuri au
Je wewe kwenye kuoga unaoga na nguo zako au unavua zote ? Kama hiyo kanuni yako ni sahihi basi lazima huitumie hata bafuni vinginevyo inakuwa imepoteza maana ...anaye oga uchi kabisa hana tofauti na anaye lala uchiHuo ujasiri wa kuchojoa nguo zote hadi za ndani mnautoa wapi na unakoroma kabisa dah aise?
Mmewajazeje ndrugu zangu wanaume?
Na je, ni vizuri au vibaya?π
Huyu mbunge wa jimbo la Hovyo ana mada na hoja zake za kutoka hovyo ni za hovyo kweli kweli πHalf american njoo uchangie hoja
Eti uchi wa mnyama yupi?Huo ujasiri wa kuchojoa nguo zote hadi za ndani mnautoa wapi na unakoroma kabisa dah aise?
Mmewajazeje ndrugu zangu wanaume?
Na je, ni vizuri au vibaya?π