Mwanaume usikate tamaa unapompenda mwanamke, wanawake wana huruma sana



Duh! Yaani umepitia yote hayao shauri tu ya kulala na Mwanamke? Wenzako wanapelekewa mashine na demu mara tu baada ya kujuana wewe unafukuzia miaka 10 tena hata papuchi yenyewe unapewa ya kuibia halafu unajisifu?
 
Wewe jua umefanywa option. Uyo mpenz wake kashamla had kamtema sasa akili zimemkaa sawa kakimbilia bwege. Yan mm mwanamke akishantamkia kuwa ana mtu wake bac hata ile ham naye inatoweka.
 
Ha ha ha... Ndo ukaliwa... Hili ni somo dada yangu.wanaume tunatakiwa tu kukaza moyo... Mbele ya K dada acha nilie tu....ili mradi nipate K na imenisaidia sana kwa leo.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…