Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu watakucheka apa umelia[emoji3][emoji3]Mkuu...wewe subiri zako mpya au za kula peke yako.sisi wengine tunaamini utamu wa kitu upo hisiani mwa mtu.
Kulia mbona kawaida tu,tunalia sana na tunapewa......Kuna watu watakucheka apa umelia[emoji3][emoji3]
Lakn amin ndugu yangu haupo peke yako wanaliaga sana tu wanaona aibu apa kusema
Haha sasa wengine wanamkejeli apa mtoa mada wkt ukiwakuta angle zao wanavyobembeleza mpk michoziKulia mbona kawaida tu,tunalia sana na tunapewa......
Waambie wawe wakweli tu......Haha sasa wengine wanamkejeli apa mtoa mada wkt ukiwakuta angle zao wanavyobembeleza mpk michozi
Daaaah !Wengine tunawakatalia hatutaki kuwaambukiza ila mtu anang' ang'ania mpaka unaamua umgawie tu na yeye.
Yawezekana.....Hiyo ndo mnaitaga dead ball sijui
Naona unafurahi kweli kweli,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]