Mwanaume usikate tamaa unapompenda mwanamke, wanawake wana huruma sana

Mwanaume usikate tamaa unapompenda mwanamke, wanawake wana huruma sana

Kuna watu watakucheka apa umelia[emoji3][emoji3]

Lakn amin ndugu yangu haupo peke yako wanaliaga sana tu wanaona aibu apa kusema
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ujue kuna tofauti kubwa sana ya "KULIA KI KWELI KWELI" na "KULIA KWA MAIGIZO".
 
Ha ha ha... Muda wa kuzingatia ndugu yangu haukuwepo. Mtu unapewa kwa mbinde tena utapata muda wa kuzingatia siku au kutumia condom?ndo pa kumuoneshea ujuzi hapo bint... Katoto kanaweza kuwa shared.

Kama nakuona unavolia.Mlizingatia siku lakini au ndo katoto katakuwa ka jamaa yetu.
 
Ni kweli ndugu yangu...hata ukihamishia kwenye maendeleo kuwa atafutaye hachoki, hata akichoka keshapata


Japo umetuandikia uzizi kuna kaujumbe Fulani hv
1.Wanawake wana huruma that's why nawapenda
2.Pigania penzi lako hata miaka 10 utapewa kiandazi
 
Ni kweli...unaweza kuta hata rais analia kabisa kulilia issue... Na nyie wanachama huku mnamwona ni mtu serious kumbe ... Acha bwana ile kitu ina nguvu ya ajabu sana.

Kuna watu watakucheka apa umelia[emoji3][emoji3]

Lakn amin ndugu yangu haupo peke yako wanaliaga sana tu wanaona aibu apa kusema
 
Ni kweli...unaweza kuta hata rais analia kabisa kulilia issue... Na nyie wanachama huku mnamwona ni mtu serious kumbe ... Acha bwana ile kitu ina nguvu ya ajabu sana.


 
Ha ha ha ha..... Wewe ndo umeharibu kabisa.... Sa si bora tu umwambie mi ninao..... Asiee.... Nmeanza siku kwa kicheko sana



Wengine tunawakatalia hatutaki kuwaambukiza ila mtu anang' ang'ania mpaka unaamua umgawie tu na yeye.
 
Back
Top Bottom