Mwanaume usikate tamaa unapompenda mwanamke, wanawake wana huruma sana

daaahh kwahiyo Kasie ukaliwa ..duh !!,wakubwa wanafaidi
 
Umepewa tuu kwa huruma ...haya unataka kabisa ahamie..... mbona hujui maana ya kuonja wewee[emoji2][emoji2]
Hahahahahaahha jibu zuri sana hilii aisee jamaa hajui kujiongeza.wanaume wa dar tungijiungeza kwa kusema ww endelea na jamaa mimi nakula kiselaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo yote ni kukimbia majukumu si unajua tunavyojua kutelezaa
 
Hongera zako dogo. Si ajabu siku mume wake akimpa stress ni wewe ndio utakuwa na msaada mkubwa sana kwa huyo mke wa mtu. Atakuwa anajileta mwenyewe kwenye anga zako, na utakuwa anakupa tena nafasi ya kugusagusa tena juujuu. Ukipitiliza hizo ni zambi zako mwenyewe!.
 
Inatufundisha nini
 
Unajua ulikuwa unalilia ngoma! Mana umepiga kavu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume wa Dar bwana,. Akalililia Kitumbua alafu anakuja kujisifu eti nililia
 
U
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…