pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
- Thread starter
-
- #21
You didn't catch my point and I don't want to agree with my point of view point yangu ni kwamba mkiishii kwa kupostiana au kuanikana mitandaoni mkija kuachana kwanza kila mtu anajua halafu inakuwa umejipa stress za kujitakia kutoka kwa wananchi kwasababu wewe ulishawazoesha watu huwa mnapostiana hivyo unabaki na stress kama za dokta mwaka na nick wa 2 taikoni soma andiko lote mbona ya kwako ni marefu na tunayasoma.Upewe listi ya ambào hawaposti na wameachana?
Kutalakiana au kuibiwa mke au mume hakuna uhusiano na ku-post au kutokumpost.
Acha Watu wafanye kinachowapa furaha. Kama wewe hiyo sio furaha yako. Au unaogopa ku-post mkeo au mumeo waache wanaoweza.
Kwa sababu wanaoachana ambao hawajawapost wapenzi au wachumba zao ni wengi kuliko waliowapost