Mwanaume usimuanike mpenzi wako mitandaoni

Mwanaume usimuanike mpenzi wako mitandaoni

Upewe listi ya ambào hawaposti na wameachana?
Kutalakiana au kuibiwa mke au mume hakuna uhusiano na ku-post au kutokumpost.

Acha Watu wafanye kinachowapa furaha. Kama wewe hiyo sio furaha yako. Au unaogopa ku-post mkeo au mumeo waache wanaoweza.
Kwa sababu wanaoachana ambao hawajawapost wapenzi au wachumba zao ni wengi kuliko waliowapost
You didn't catch my point and I don't want to agree with my point of view point yangu ni kwamba mkiishii kwa kupostiana au kuanikana mitandaoni mkija kuachana kwanza kila mtu anajua halafu inakuwa umejipa stress za kujitakia kutoka kwa wananchi kwasababu wewe ulishawazoesha watu huwa mnapostiana hivyo unabaki na stress kama za dokta mwaka na nick wa 2 taikoni soma andiko lote mbona ya kwako ni marefu na tunayasoma.
 
Maumivu ni yaleyale mkuu.
Maumivu kwenye Mahusiano ya ndoa na mapenzi hutokana na kiwango cha mtu jinsi alivyopenda na sio Watu wanaojua hayo mahusiano au jinsi alivyogharamika au kumpost.

Ndio maana wapo wanaojiua kwa kuachwa na hawajawahi kuwapost wenza wao. Lakini hao uliowataja na wengine wengi wanaopost unakuta leo akiachana na huyu kesho anapost mwingine.
Wanajikaza tu kwasababu binadamu huwezi jua yaliyopo moyoni mwake mpaka mtu anaziba comment halafu useme haumii kiufupi wanao post wanachukua mda kupona sema wanajikaza tu na kwasababu wewe umeamua kuwa upande wao basi hakuna haja ya league ni maoni tu.
 
aise...
mbona umeanika ukweli bayana kinagaubaga hadharani tena bila mbambamba 🐒

ndrugo zango ukiona inafaa zingatia ushauri na kutekeleza ushauri huu, ukiona ni wivu tu songa mbele kuposti ili listi ya kupigana chini baadae iongezeke, maana ni suala la muda tu.
Shupaza shingo ivo ivo na uzingatie ushauri wa mafeministi 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
Mtumishi yalikukuta nini?? 😂😂😂😂
 
Unapo post jua kuna wahuni wanapesa kukuzidi na wapo romantic na ma gent kukuzidi, alafu mbaya zaidi kazi yao nikukuvizia uanze kujidai nae[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mpenzi mwenyewe sasa

23.jpg
 
Wamepata raha na wakiachana kila mmoja anachukua chuma kingine. Wanaendelea ku-post.
Kabisaaaa!!! Watu wasiishi maisha yao eti kisa wataachana.!!? Maisha ni sasa kikubwa nafsi isuuzuke buanaaa.!!
Hata km wana connection wao watupe tusafishe na macho 😂😂😂😂
 
Wanajikaza tu kwasababu binadamu huwezi jua yaliyopo moyoni mwake mpaka mtu anaziba comment halafu useme haumii kiufupi wanao post wanachukua mda kupona sema wanajikaza tu na kwasababu wewe umeamua kuwa upande wao basi hakuna haja ya league ni maoni tu.

Hapa sio league mkuu.
Kama ulivyosema wewe upo kinyume chao na mimi nipo upande wao.
Hivyo huu ni mjadala tuu. Tunajadili kwa hoja.
Au ulitaka tukukubalie wote mada yako.
Kama nia ndio hiyo basi nami nimekubali.

Lakini kama lengo ni kujadili basi tupingane kwa hoja.

Nikirejea kwenye hoja.
Umesema wanajikaza. Nikakuambia wapo wanaojiua kisa wamechapiwa au kuachwa na wake au wapenzi wao na hawajawahi kuwapost.
Aliyejiua na anayejikaza kama hao uliowataja kina Manara nani anaafadhali?
 
Kabisaaaa!!! Watu wasiishi maisha yao eti kisa wataachana.!!? Maisha ni sasa kikubwa nafsi isuuzuke buanaaa.!!
Hata km wana connection wao watupe tusafishe na macho 😂😂😂😂

😃😃😃
Mimi ambao hawaposti ninawaona wanahoja ikiwa ni maamuzi na hawapendi kufanya hivyo lakini hawa wanaoogopa kuachwa au kuchapiwa naona ndio wanamatatizo makubwa
 
Kikubwa raha si ulipata?? Na wote mlikojoa?
Basi hapo hakuna majuto 😂😂😂
Na ukipata mwingine mpost wala usiogope mtaachana 🤣

eeh eeh e ee eeeh kukojoa tena na tupo msibani 😜

maybe that is the story for other day mtumishi

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Back
Top Bottom