Mwanaume usimuanike mpenzi wako mitandaoni

πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mimi ambao hawaposti ninawaona wanahoja ikiwa ni maamuzi na hawapendi kufanya hivyo lakini hawa wanaoogopa kuachwa au kuchapiwa naona ndio wanamatatizo makubwa
Hao ni waoga kwani waliambiwa hii dunia wanaishi malaika..?? Wao wapost wakiachana basi ni sehemu ya maisha, watafute wengine wawapost kazi iendelee..!!
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mimi ambao hawaposti ninawaona wanahoja ikiwa ni maamuzi na hawapendi kufanya hivyo lakini hawa wanaoogopa kuachwa au kuchapiwa naona ndio wanamatatizo makubwa
swala sio kupenda au kujali hiyo ni dosari ya uelewa na Ufahamu juu ya mahusianao, uchumba na ndoa πŸ’

wenye Ufahamu na uelewa wa kutosha, hiyo haiwezi kua hoja kwenye mapenzi yao unless wamekutanishwa na mtandao πŸ’

R I P Laigwanan comrade ENL
 
Aende Mahakamani akaangalie idadi ya talaka alafu hao wanaopeana talaka kwa ugoni ahesabu wangapi waliwahi kuwapost wenza wao.
Wewe ndio ulitakiwa ulete hizo takwimu sasa za walioenda mahakamani ila kumpost mpenzi kwenye mitandao ya kijamii ni ushamba lini GSM MO DEWJI BAKHRESA amepost mke wake kwenye social platforms lete hapa wake tuwaone kama ww una kawaida ya kupost mpenzi wako basi tambua huo ni ushamba hakuna tajiri duniani ana huo mda au mtu anayejielewa anafanya huo upuuzi.
 

Mkuu kwa uelewa wako mtandaoni Watu wanatakiwa wapost jambo gani?
 
Mbona mke wa ricardo momo anaonekana wakupigwa na kuacha yeye ndo kaoa kabisa
 
[emoji2][emoji2][emoji2]
Mimi ambao hawaposti ninawaona wanahoja ikiwa ni maamuzi na hawapendi kufanya hivyo lakini hawa wanaoogopa kuachwa au kuchapiwa naona ndio wanamatatizo makubwa
Yaani ww inaonekana ni wale watu wakiweka WhatsApp status inakuwa kama tairi yaani status 50 kwa siku huo si uwendawazimu halafu hamna cha maana hata kimoja.
 
Mke ni pambo la ndani ya nyumba unampost mitandaoni ili umringishie nani? Kama sio kuwapa tamaa watu waanze kupanga mipango ya kishetani
 
Ndio ileile concept kuwa Mwanamke WA Ofisini anazagamuliwa huko ofisini hivyo wanaume waoe golikipa.
Yaani kuna Watu wanafikiri kwa namna ya ajabu sana
Ni kweli wala sio uongo japo suingi mkono kuoa goli kipa nishawahi kuhudhuria semina moja tulikaa week yaliyokuwa yakiendelea mungu ndio anajua wanawake wanapenda mserereko sana hudhuria siku moja halafu uje na andiko ww si mtaalam wa fasihi.
 

Anhaa! Kumbe wewe unamuiga GSM, MO Dewji na kina Bakhressa.
Sasa ndugu yangu wewe hata milioni moja kwenye akaunti huna alafu unafikiri kina MO NI mabilionea kwa sababu hawaposti Wake zao.

Kwenye akaunti za hao uliowataja wanapostigi nini kama unawafuatilia?
 
Ni kweli wala sio uongo japo suingi mkono kuoa goli kipa nishawahi kuhudhuria semina moja tulikaa week yaliyokuwa yakiendelea mungu ndio anajua wanawake wanapenda mserereko sana hudhuria siku moja halafu uje na andiko ww si mtaalam wa fasihi.

Wakati unaenda kazini unamuacha mkeo nyumbani unajua huku nyumbani anafanya nini?

Kama unaelimu walau ya kidato cha nne huwezi kuwaza kwa namna uliyowaza.
 
Kwani ulichat na majini au vibwengo?? Mbona sielewi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hebu fafanua..!! Au ulimtongoza mudi? 🀣🀣🀣🀣
Nlijibizana na mtu kumbe yy anaclick report button kwenye kila reply yangu
 
Ndio ujue wewe kama unafanya hivyo hujielewi hao ndio successful people in our country sasa kwa nini wasiwe role model kwa hyo ww million 10 kwako ndio kipimo cha utajiri ndio nyie mnakopa million 10 bank mnakatwa miaka nane kwa ideology hizo mimi ukiniletea hapa watu wanaojielewa kama hao tutaenda sawa sio unapost 24/7 na status zinakuwa kama tairi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo ndio nimejua wewe ni mtu wa aina gani.
 
Yaani ww inaonekana ni wale watu wakiweka WhatsApp status inakuwa kama tairi yaani status 50 kwa siku huo si uwendawazimu halafu hamna cha maana hata kimoja.

Kwenye uhalisia.
Wewe na Nick WA pili, Haji Manara na hao uliowataja kuna yeyote kwenye ukoo wenu anatija kuwashinda hao ndani ya taifa licha ya kuwa hampost Wake na wenza wenu?

Unachoshindwa kuelewa ni kuwa, jambo lolote ambalo halivunji sheria za nchi au sheria za Mungu sio kosa kufanya. Na ukiona unamkamnya mtu asifanye jambi ambalo sio kosa ujue wewe ndio unamatatizo Makubwa
 
Kila uhusiano unaudhaifu wake kwahiyo kuna watu kazi yao ni kusoma udhaifu huo, kwahiyo ukilega kidogo tu watu wanapita nae pia msisahau kuwa pesa ndio jibu la mambo yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…