Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
sasa hapo naona unahitaji nifundishe faida na hasara za mtandaoni, right π
mkikutana mtandaoni na mkawa wachumba na hatimae ndoa, its okay and fine,
otherwise mkikutana kanisani halafu mkakaribisha mtandao kana kwamba ndio furaha yenu na mshauri wenu mkuu wa ndoa basi msijiskie vibaya kuingizwa kwenye list hapo juu, muda muafaka ukifika π
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Ni maoni yake yaheshimiwe.
Na hiyo ndio ilikuwa point yangu mkuu .Mi nimekuelewa sana.
Mfano mimi nina mtu wangu, wanaojua ni familia zetu mbili na rafiki wa karibu hivyo hata tukiachana naweze move on kirahisi.
Ila kama niki post Dunia nzima ikajua kesho tukiachana kazi ko move on.
Kwanza kila mtu atakuwa anauliza uliza nini kimetokea
We una stress nilikuwa sijajua mpaka mmepelekana mahakamani unajua kwenye social platforms unaweza ukajibizana na mgonjwa tupe mrejesho taikoni kesi imeishaje huko mahakamani na hyo kahaba wako uliyemuokota kidimbwi.Yanaheshimiwa ndio.
πππππ Watibeli wamecharuka leo
Sasa hao aliowataja mtoa mada ni watu ambao maarufu mtandaoni lazima tutawaona, hilo sio tatizo.sasa hapo naona unahitaji nifundishe faida na hasara za mtandaoni, right π
mkikutana mtandaoni na mkawa wachumba na hatimae ndoa, its okay and fine,
otherwise mkikutana kanisani halafu mkakaribisha mtandao kana kwamba ndio furaha yenu na mshauri wenu mkuu wa ndoa basi msijiskie vibaya kuingizwa kwenye list hapo juu, muda muafaka ukifika π
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Kula tano πFact ni kuwa, ikiwa Watu wameamua kuweka mambo yao mitandaoni na hawavunji sheria yoyote sioni ubaya wowote. Kama ni furaha yao.
Ni sawa na mtu ka- post gari au nyumba yake alafu kuna mijitu inasema sio vizuri au ni ushamba.
Wapi nimesema sio vizuri au hauruhisiwi kwenye andiko langu we una stress za mahakamani unampeleka mwanamke mahakamani akusaidie kuhudumia kweli dish lipo sawa wewe ungefanyiwa hivyo ungekubali ndio maana una stress punguza stress hivyo vitu vya kawaida.Fact ni kuwa, ikiwa Watu wameamua kuweka mambo yao mitandaoni na hawavunji sheria yoyote sioni ubaya wowote. Kama ni furaha yao.
Ni sawa na mtu ka- post gari au nyumba yake alafu kuna mijitu inasema sio vizuri au ni ushamba.
We una stress nilikuwa sijajua mpaka mmepelekana mahakamani unajua kwenye social platforms unaweza ukajibizana na mgonjwa tupe mrejesho taikoni kesi imeishaje huko mahakamani na hyo kahaba wako uliyemuokota kidimbwi. View attachment 2902684
Tuendelee niko hapa mtibeli mwenzio π€£π€£π€£Mtu kaleta hoja na anataka kutunga kisheria. Basi Watu wanamuambia afafanue. Anashindwa anaanza kulia na kurusha mayowe ya matusi.
Anataja matajiri sasa akiambiwa mbona hao kina Bill gate na matajiri wengine wametalakiana na wake zao na bado hawakuwapost wake zao. Anabaki anabwabwaja
Wapi nimesema sio vizuri au hauruhisiwi kwenye andiko langu we una stress za mahakamani unampeleka mwanamke mahakamani akusaidie kuhudumia kweli dish lipo sawa wewe ungefanyiwa hivyo ungekubali ndio maana una stress punguza stress hivyo vitu vya kawaida.
Mke wangu mimi mwarabu wa tanga siwezi ku mpost hata siku moja kama manara na dula makabila wanaibiwa mademu mimi ni nani ambaye niko huku nzasa nalima mapapai hata Dubai siijui.Kesi imeisha.
Nataka nije nimchukue huyo mkeo ambaye haum-post alafu nitampost mimi. Ili uelewe kuwa kuachana haina uhusiano na kumpost au kutokumpost [emoji2][emoji2]
Oyoooooooooo!!!! Wifey tunaye ππππKesi imeisha.
Nataka nije nimchukue huyo mkeo ambaye haum-post alafu nitampost mimi. Ili uelewe kuwa kuachana haina uhusiano na kumpost au kutokumpost ππ
Tuendelee niko hapa mtibeli mwenzio π€£π€£π€£
Yani anaacha wa ofisini na kuoa golikipa harafu huyo galikipa mabodaboda na wauza mkaa wanapita naye hahahahaha.Ndio ileile concept kuwa Mwanamke WA Ofisini anazagamuliwa huko ofisini hivyo wanaume waoe golikipa.
Yaani kuna Watu wanafikiri kwa namna ya ajabu sana
Kwakweli ππSura ngumu km uji wa magimbi inshort hawatazamiki ππππ
Sio vizuri kwasababu mapenzi yao ila wanatutukana sisi wanyonge ambao hatuna hatia maana kuna caption ukiziona unaweza sema umekosea kuoa.[emoji3][emoji3]
Sasa Mkuu hivi ulichoandika unakielewa au ulikuwa unaandika tuu?
Kwa hiyo ni vizuri au sio vizuri kumpost mwenza wako Mtandaoni kwa Mujibu wa mada yako?
Mke wangu mimi mwarabu wa tanga siwezi ku mpost hata siku moja kama manara na dula makabila wanaibiwa mademu mimi ni nani ambaye niko huku nzasa nalima mapapai hata Dubai siijui.
siyo vibaya hata kidogo kujianika mtandaoni, pia huwa sio shida kwenye hilo....Fact ni kuwa, ikiwa Watu wameamua kuweka mambo yao mitandaoni na hawavunji sheria yoyote sioni ubaya wowote. Kama ni furaha yao.
Ni sawa na mtu ka- post gari au nyumba yake alafu kuna mijitu inasema sio vizuri au ni ushamba.
π€£π€£π€£π€£ Ila nilichogundua mtoa mada ni mfukunyuku na anapenda kufatilia maisha ya watu..!! Anataka kupangia watu jinsi ya kuishi maisha yao ambayo yy hayamfaidishi chochoteKukabiliana na Fact NI kazi sana. Ndio anachofanya mtoa mada.
Nimempa challenge naona povu kama lote mbaya zaidi na hili jua hana hela ya soda. Kudadadeki! π
pwilo