Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Sio vizuri kwasababu mapenzi yao ila wanatutukana sisi wanyonge ambao hatuna hatia maana kuna caption ukiziona unaweza sema umekosea kuoa.
Kazi wifi yangu, eti kaka asikupost kisa aogope watamchapia.?? Kuna wengi hawapost mademu zao na wanachapiwa vzr tena na watu wa hovyo.!!!Kwakweli ππ
siyo vibaya hata kidogo kujianika mtandaoni, pia huwa sio shida kwenye hilo....
Ile ngumu na mbaya sana naonaga ni matokeo baada ya kutofautiana kidogo kama binadamu ndani ya nyumba.
wanakua hawana mahali pakwenda kujisitiri na kutatua tofaut zao kwasabb tayari waliisha waaminisha wanamtantandao juu ya utamu wa mapenzi yao mpaka ya ndani π
na kwahivyo sasa, kupitia mtandao wanaendelea kuchochea moto na kufunuana zaidi madhaifu na mapungufu yao ya kibinadamu π
hii kitu hunisononesha sana kwakweli nionapo jamaa wanapambana na wenzi wao mitandaoni π
ni vizuri ya ndani mkayamaliza kwa ndani chumbani ni muhimu sana..
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Basi kaka inatosha kakuelewa, hapo alipoanza kutia huruma nikajua maji yamefika shingoni ππππππππ
Mkuu ndio maana unaambiwa uchague Mwanamke ambaye utakuwa Comfortable naye ili uweze hata kuongozana naye barabarani au hata kumtambulisha achilia mbali kumpost mitandaoni.
Sasa wewe unasema wanakuonea wewe mnyonge (ππ hapa umenifurahisha sana) kwani ulilazimishwa kuoa au kuwa nah huyo uliyenaye?
Kwani unashindwa kumpendezesha mwenza wako afanane na hao wa kina Manara.
Mbona hao mademu ni wakawaida sana. Ishu ni matunzo tuu
Basi kaka inatosha kakuelewa, hapo alipoanza kutia huruma nikajua maji yamefika shingoni πππππ
π€£π€£π€£π€£ Ila nilichogundua mtoa mada ni mfukunyuku na anapenda kufatilia maisha ya watu..!! Anataka kupangia watu jinsi ya kuishi maisha yao ambayo yy hayamfaidishi chochote
Yani anaacha wa ofisini na kuoa golikipa harafu huyo galikipa mabodaboda na wauza mkaa wanapita naye hahahahaha.
Ww unasononeka nini na watu wanaishi maisha yao.?? πππsiyo vibaya hata kidogo kujianika mtandaoni, pia huwa sio shida kwenye hilo....
Ile ngumu na mbaya sana naonaga ni matokeo baada ya kutofautiana kidogo kama binadamu ndani ya nyumba.
wanakua hawana mahali pakwenda kujisitiri na kutatua tofaut zao kwasabb tayari waliisha waaminisha wanamtantandao juu ya utamu wa mapenzi yao mpaka ya ndani π
na kwahivyo sasa, kupitia mtandao wanaendelea kuchochea moto na kufunuana zaidi madhaifu na mapungufu yao ya kibinadamu π
hii kitu hunisononesha sana kwakweli nionapo jamaa wanapambana na wenzi wao mitandaoni π
ni vizuri ya ndani mkayamaliza kwa ndani chumbani ni muhimu sana..
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Ila mtoa mada uko aliko anatusonya ππππππ
Ninamuelewa hoja yake tangu alipoandikisha hΓi mada.
Sababu alizozitoa kwenye uzi zilikuwa Geresha. Alikuwa hajasema sasa kasema ile kwΓ©li yenyewe.
Angesema wazi tuu wala tusingefika huku
Ila mtoa mada uko aliko anatusonya ππππ
Kwanza mtu km Manara hana muda anaishi maisha yake hajali watu wanasema nini kumuhusu. Yy anachojali furaha yake..!!Mtu umeshakuwa Follower WA mtu alafu unataka umpangie unayem-follow. Hiyo inakujaje.
Huyo Manara kuna Watu hawamjui hapahapa Dar es salaam achilia mbali Tanzania.
πππ mnoUnapenda sana hizi ligi π
Kwanza mtu km Manara hana muda anaishi maisha yake hajali watu wanasema nini kumuhusu. Yy anachojali furaha yake..!!
Ifike hatua tuache kupangia watu maisha ili na sisi tuishi yetu kwa kuenjoyyyyyyyy ππππ
Lazma ni sononeke kijana anavyofunguka jaman mambo ya ndraaani namna ile, no hapana bana πWw unasononeka nini na watu wanaishi maisha yao.?? πππ
Ukijua hii dunia tunapita na ukiwa busy na maisha yako wala haitokusumbua..!!
Mimi nasononeka na wale wanaochukuana video wakiwa faragha kisha wanazivujisha sababu wanaharibu watu kisaikolojia πππ
Na ni aibu kwa familia zao na taifa kwa ujumla.
kumbe huwa unajutraa eeeπππ mno
Leo vya mwisho mwisho naingia kwaresima
Usingefika huku na nani mimi sina league na mtu na nilisema tokea mwanzo sio lazima ukubali nilichoandika hata ww una mtazamo wako ila you're psychological unstable kwasababu mimi mtu akitoka nje ya mada na akajadili personal kwangu huyo hayuko sawa ila kwasababu ulikuwa na stress za kubambikiwa mtoto mpaka kufikia hatua ya kwenda mahakamani basi sawa kumbe ilikuwa unatafuta pakutolea stress.[emoji3][emoji3]
Ninamuelewa hoja yake tangu alipoandikisha hΓi mada.
Sababu alizozitoa kwenye uzi zilikuwa Geresha. Alikuwa hajasema sasa kasema ile kwΓ©li yenyewe.
Angesema wazi tuu wala tusingefika huku
Wewe mwenyewe wa kwako amekushinda anza kwanza kumtunza huyo single maza halafu ndio uje kutoa ushauri hapa ukirudi mahakamani.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu ndio maana unaambiwa uchague Mwanamke ambaye utakuwa Comfortable naye ili uweze hata kuongozana naye barabarani au hata kumtambulisha achilia mbali kumpost mitandaoni.
Sasa wewe unasema wanakuonea wewe mnyonge ([emoji23][emoji23] hapa umenifurahisha sana) kwani ulilazimishwa kuoa au kuwa nah huyo uliyenaye?
Kwani unashindwa kumpendezesha mwenza wako afanane na hao wa kina Manara.
Mbona hao mademu ni wakawaida sana. Ishu ni matunzo tuu
Usingefika huku na nani mimi sina league na mtu na nilisema tokea mwanzo sio lazima ukubali nilichoandika hata ww una mtazamo wako ila you're psychological unstable kwasababu mimi mtu akitoka nje ya mada na akajadili personal kwangu huyo hayuko sawa ila kwasababu ulikuwa na stress za kubambikiwa mtoto mpaka kufikia hatua ya kwenda mahakamani basi sawa kumbe ilikuwa unatafuta pakutolea stress.
Wewe mwenyewe wa kwako amekushinda anza kwanza kumtunza huyo single maza halafu ndio uje kutoa ushauri hapa ukirudi mahakamani.