Sijalizungumzia hilo mbona kwenye mada yangu wewe ndio umeanzisha mada juu ya mada ila mimi mada yangu ni tofauti na unachotaka ww kizungumzwe.Mkuu embu tuachane na hasira kwanza.
Turudi kwenye hoja.
Kwa uelewa wako, Kumpost mwenza mtandaoni ni chanzo cha yeye kuchapwa au kuibiwa?
Sijalizungumzia hilo mbona kwenye mada yangu wewe ndio umeanzisha mada juu ya mada ila mimi mada yangu ni tofauti na unachotaka ww kizungumzwe.
Mbona hakuna facts hata moja mkuu maana hakuna data zozote ulizoleta ww inaonekana hata maana ya fact hujui sasa unakuwaje na facts bila data.Kukabiliana na Fact NI kazi sana. Ndio anachofanya mtoa mada.
Nimempa challenge naona povu kama lote mbaya zaidi na hili jua hana hela ya soda. Kudadadeki! [emoji4]
pwilo
Mbona hakuna facts hata moja mkuu maana hakuna data zozote ulizoleta ww inaonekana hata maana ya fact hujui sasa unakuwaje na facts bila data.
Huyo anayefunguka ni kuchapwa bakora, ila wanaopost mapicha picha ya malovee ππLazma ni sononeke kijana anavyofunguka jaman mambo ya ndraaani namna ile, no hapana bana π
Mwanadamu mwenyewe kujali utu wa wengine utasononeka tu na pengine kuingia kwenye maombi mazito pia...
hii ya mavideo ya masuala ya kunyanduana for sure for us young politicians ipo kanuni inatuongoza, kwasabb, you never know hiyo pisi inayokupa mbususu ni true love, business or political mission ya kukuembarass na kukupoteza mazima kwenye political scene π
Huwa tunatake charge, control and full authority of every electronic material within mnyanduano scene...
Hata ivo mnapta wap muda wa kupiga picha na video mule ndani kwenye action room? Au hamna pumzi?
wengine tunaendaga pale kwaajili ya kazi moja tu,
Ni kupeleka motroo tuπ₯
Ni kupeleka motroo tu mwanzo mwanga mwenga yaani π
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Hapo umejitungia ww kichwa cha habari.Mkuu ngoja nikuache.
Mifano yote uliyotoa ili kusalitiwa kichwa cha uzi inaelezea kuwa kumpost mwenza mtandaoni ndio sababu ya mwanamke kuchapwa au kutalakiana. Mifano umeitoa hapo.
Sasa mimi nmeanzisha mada ipi tena?
π€£π€£π€£π€£ saa 10 naenda kwenye maungamo, na nilivyo na dhambi nyingi kitubio kitakuwa kikubwa leokumbe huwa unajutraa eee
Hapo umejitungia ww kichwa cha habari.
dada wa taifa,Huyo anayefunguka ni kuchapwa bakora, ila wanaopost mapicha picha ya malovee ππ
Hao wao waendelee kuishi maisha yao hata wakibwagana poa..!!
Weee π
kwahiyo baba mtumishi huko ndani kwako kunakuwa na mshike mshike ni bandika bandua..!! Mama mtumishi unamfanya anene kiebrania dadeq π€£π€£π€£
Na nyie politician video zenu zinauzwa bei kubwa kwa dada wa taifa mjichanganye muone
Mmechafukwa kabisa aya postini tu.Hao ni waoga kwani waliambiwa hii dunia wanaishi malaika..?? Wao wapost wakiachana basi ni sehemu ya maisha, watafute wengine wawapost kazi iendelee..!!
dakika 45 unaendekea kutiririka midhambi tu tena kwa kufokafoka kama hiphop hadi paroko aje akuchingulie kujua wewe ni mgalatia, muefeso au muyunani ππ€£π€£π€£π€£ saa 10 naenda kwenye maungamo, na nilivyo na dhambi nyingi kitubio kitakuwa kikubwa leo
Hapo umejitungia ww kichwa cha habari.
Acha nipite hivi maana hii hainihusu Mimi na mimvi yangu hii kichwaniNB:KUPOSTIANA MITANDAONI SIO ISHARA YA UPENDO NI KUTAKA KUKOMOANA AU KUJIONYESHA TU KWA WATU ILA NI TOFAUTI NA UHALISIA.
Sema Kaka tuponeeeeππππ...Upewe listi ya ambΓ o hawaposti na wameachana?
Kutalakiana au kuibiwa mke au mume hakuna uhusiano na ku-post au kutokumpost.
Acha Watu wafanye kinachowapa furaha. Kama wewe hiyo sio furaha yako. Au unaogopa ku-post mkeo au mumeo waache wanaoweza.
Kwa sababu wanaoachana ambao hawajawapost wapenzi au wachumba zao ni wengi kuliko waliowapost
Se
Sema Kaka tuponeeeeππππ...
πππππ hatareeeedakika 45 unaendekea kutiririka midhambi tu tena kwa kufokafoka kama hiphop hadi paroko aje akuchingulie kujua wewe ni mgalatia, muefeso au muyunani π
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Kesi imeisha.Siku ya kwenda mahakamani ikifika urudi wasamaria wema wanaweza wa kakusaidia hakuna anayeweza/ kujua kila kitu .
πππππ Tutapostiana hata bundle liwe laki kwa 1mbMmechafukwa kabisa aya postini tu.