Mwanaume usimuanike mpenzi wako mitandaoni

🀣🀣🀣🀣 Hayo maombi nayakatia rufaa, sisi tunataka kuona connection watu wanavyonyumbulika 😜
 
Shida hao uliowatolea mfano ni watu maarufu kwa kiasi fulani ( i mean wanafuatiliwa kwa ukaribu na wafuasi wao) kwahiyo kwa namna moja ama nyingine kwa upande wao lazima iwaathiri tu,,,,
 
🀣🀣🀣🀣 Hayo maombi nayakatia rufaa, sisi tunataka kuona connection watu wanavyonyumbulika 😜
yaani kweli ndrugu zango manafurahia mambo mbaya mbaya tu ya mbususu na mishedede ya wengine kuwekwa hadharani, kweli ndrugo zango? hii si sawa....

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Ukitupostia tunascreenshot status tunahifadhi, yanini ututambie
Huoni unajitesa kufatilia mambo ya watu??
Jirani unahifadhi picha ya watu wasiokujua unaacha kuhifadhi picha za wazazi wako ili baadae uonyeshe watoto na wajukuu zako.???
Jirani hapo sikuungi mkono πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
yaani kweli ndrugu zango manafurahia mambo mbaya mbaya tu ya mbususu na mishedede ya wengine kuwekwa hadharani, kweli ndrugo zango? hii si sawa....

R.I.P Laigwanan comrade ENL
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Si wenyewe wanataka kutushirikisha style mpya
 
Kazi wifi yangu, eti kaka asikupost kisa aogope watamchapia.?? Kuna wengi hawapost mademu zao na wanachapiwa vzr tena na watu wa hovyo.!!!
Mtoa mada aache watu waishi maisha yao kikubwa hawavunji sheria za nchi buana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ewaaaaaaahhh
 
Oya umemsahau na Masanja mkandamizaji.

Utaratibu:
Ukijenga mazoea ya kumuweka mitandaoni mke wako na kumsifiasifia Wahuni lazima wapite nae wajue yaliyomo.
 
Sasa hata hivyo ndiyo post yako ikose nukta, na mkato?

Unaandika kama Mzaramo!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Si wenyewe wanataka kutushirikisha style mpya
Aaache watuu tujipost na tuwapost tuwapendaoooπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„haya maisha ukiwa serious Sana magonjwa ya moyo na kisukari nje njeeπŸ˜„πŸ˜„
 
🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mpost shem na ww akupost kwa raha zenu..!! Kuachana ipo tu.
Aliachwa malkia Elizabeth na UK iliiendelea kusimama itakuwa sisi wamatumbi??!🀣
Tena km bundle hana muwekee akupost
Mambo ni bull bullπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„tutaacha kupostiana wakifungaa social media...na tupoo ndoani mwaka wa 12 huuuπŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Aaache watuu tujipost na tuwapost tuwapendaoooπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„haya maisha ukiwa serious Sana magonjwa ya moyo na kisukari nje njeeπŸ˜„πŸ˜„
Unakuta yy mwenyewe wazazi wake wameachana na hawajawahi kupostiana kokote πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dunia yenyewe sio yetu tunapita, kila mtu na starehe yake tusipangiane..!! Tutapostiana mpk siku ya kufa 🀣🀣🀣
 
Mambo ni bull bullπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„tutaacha kupostiana wakifungaa social media...na tupoo ndoani mwaka wa 12 huuuπŸ‘ŒπŸ‘Œ
Nampost asubuhi, mchana, jioni had usiku, atakayeona anahumia ani un follow simple tyuu..!! Ila siachi kumpost na kesho valentine, naanza kumpost leo kuwahi foleni kwa wanao view na wanaowashwa washwa na maisha ya watu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unakuta yy mwenyewe wazazi wake wameachana na hawajawahi kupostiana kokote πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dunia yenyewe sio yetu tunapita, kila mtu na starehe yake tusipangiane..!! Tutapostiana mpk siku ya kufa 🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mpk kifo kitakapo tutenganishaaaπŸ˜„πŸ˜„watu waache kucomplicate Mambo...life is too short to stress yourselfπŸ‘ŒπŸ‘Œwazungu wanasema enjoy ze moment...πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚TenaaaaaaπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…