Mwanaume usiweke moyo wako kwa mwanamke asilimia mia, siku akikumwaga utalia

Mwanaume usiweke moyo wako kwa mwanamke asilimia mia, siku akikumwaga utalia

Mkuu kitu kati ya vitu vinavyomuumiza sana mwanamke aliyekufanyia mabaya basi ni Wema, na kusonga mbele kimafanikio, km Elimu, Pesa, mjengo wa uhakika, Safari za nje kuliko mwanzo nk, weee! muhusika atakuwa akikaa na kuwaza mema yako akili zina hama kabisaa, na analia sana na moyo unamuuma mno. mbaya zaidi mashoga zake wakimsimulia Kick zako haa! ndo kabisaaa!

Ila fanya wema kwa tahadhari, anaweza kukusababishia matatizo kw mfano, alikufanyia mpango wa kazi mahala jua utapata misukosuko kazini, mfano kukukatia mshahra wako bila sababu, kutokupanda daraja ukiona hivi shtuka, lkn usimuonyeshe kuwa umejua tenda wema tu ummalize kisaikorojia!!
 
Umesomeka mkuu,nakazia utalia na kusaga meno na stress zitakuandama kama upepo.
Zawadi kubwa utakayojizawadia wewe muachwa, ni kusamehe na kuzidi kumpenda, hii itampunguzia show off mbele zako, so no stress, lkn akijua kuwa unaumia, umenuna kuachwa!! hee! atakukomesha. na kigari chake cha mkopo.

Wewe Piga pesa ajione kuwa alikuwa na gundu. sasa km hamuonani hawezi kujua jinsi ulivo paa kimaisha, huyu uki muua umemsaidia sana maumivu, muache aishi ili aone kicks zako. aliye yeye!!

Kma una watoto wa ziada na pesa ipo wakusanye uishi nao!! peleka shule nzuri wote wape company maradufu, zaidi kuliko mwanzo.
 
Kuna mdau aliwahi kukazia humu kuwa mwanaume anayejielewa usijiwekee asilimia miamoja kuwa mwanamke uliyenaye anaweza kuwa nawewe milele , usijiwekee asilimia mia siku akibadilka utakuja kulia

Mwanaume anaweza akachepuka na bado akaijali familia yake na kila kitu kuazia matunzo akaendelea kutoa ila mwanamke akianza kukusaliti jua ndio ntolee

Sasa ukiwa na mwanamke hasa mchumba epuka sana kuwekeza fedha nyingi au kumwaga hela ukijua ndio tayari ni wako , my friend mchumba hatakiwi kuwekezewa mali ukiwekeza fanya kama unabeti ili siku akija kukubadikikia usije ukashika kisu , misiba hatuitaki

Mpende mwanamke kwa kiasi na usiamini kuwa utakuwa naye milele ili siku akija kubadilika usije ukaja kulia, mwanaume anaweza akachepuka na mwanamke aliyekutana nae ndani ya mwezi mmoja na bado akaendelea kumjali mkewe na familia ila mwanamke anaweza akachepuka na mtu aliyefahamiana nae ndani ya wiki tu na akabadilika kabisa ni wepesi kubadilika (sio wote)

Hivyo kama upo na mwanamke na unajua hujamuowa ishi nae kwa akili, kama huna moyo acha kabisa kutumia fedha nyingi kumhonga au kumfungulia mabiashara makubwa ukidhani utamdhibiti , siku akija kubadilika hutoamini macho yako, ukitoa hela toa kama unabeti ukijua kuna hasara na faida ili siku akifanya yake usije ukaanza kunoa panga.

Mpende kwa kiasi ukijifanya unampenda na kumnyenyekea umeisha, wanawake wakiona mwanaume zezeta kukusumbua ni kawaida, yani kuwa nje ndani asijue kama yeye ndio kila kitu kwako ili asikuletee masihara, mpende mhudumie kwa kiasi ila sio kwa misifa akija kubadilka narudia tena utakuja kufungua uzi hapa kulalamika
ubarikiwe mkuu
 
Kuna mdau aliwahi kukazia humu kuwa mwanaume anayejielewa usijiwekee asilimia miamoja kuwa mwanamke uliyenaye anaweza kuwa nawewe milele , usijiwekee asilimia mia siku akibadilka utakuja kulia

Mwanaume anaweza akachepuka na bado akaijali familia yake na kila kitu kuazia matunzo akaendelea kutoa ila mwanamke akianza kukusaliti jua ndio ntolee

Sasa ukiwa na mwanamke hasa mchumba epuka sana kuwekeza fedha nyingi au kumwaga hela ukijua ndio tayari ni wako , my friend mchumba hatakiwi kuwekezewa mali ukiwekeza fanya kama unabeti ili siku akija kukubadikikia usije ukashika kisu , misiba hatuitaki

Mpende mwanamke kwa kiasi na usiamini kuwa utakuwa naye milele ili siku akija kubadilika usije ukaja kulia, mwanaume anaweza akachepuka na mwanamke aliyekutana nae ndani ya mwezi mmoja na bado akaendelea kumjali mkewe na familia ila mwanamke anaweza akachepuka na mtu aliyefahamiana nae ndani ya wiki tu na akabadilika kabisa ni wepesi kubadilika (sio wote)

Hivyo kama upo na mwanamke na unajua hujamuowa ishi nae kwa akili, kama huna moyo acha kabisa kutumia fedha nyingi kumhonga au kumfungulia mabiashara makubwa ukidhani utamdhibiti , siku akija kubadilika hutoamini macho yako, ukitoa hela toa kama unabeti ukijua kuna hasara na faida ili siku akifanya yake usije ukaanza kunoa panga.

Mpende kwa kiasi ukijifanya unampenda na kumnyenyekea umeisha, wanawake wakiona mwanaume zezeta kukusumbua ni kawaida, yani kuwa nje ndani asijue kama yeye ndio kila kitu kwako ili asikuletee masihara, mpende mhudumie kwa kiasi ila sio kwa misifa akija kubadilka narudia tena utakuja kufungua uzi hapa kulalamika
Naam
 
Back
Top Bottom