BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Nahisi jamaa kazoea miteremko kabla hata hajaoa. Isije ikawa ni side B!..
Ndiyo tukisema ndoa ni ngumu inategemea na mtu uliyekutana nae ndoani..kama huyo jamaa ni presha! Mwambie bibie aongee nae kwa kina kuhusu hiyo tabia.
Ndiyo tukisema ndoa ni ngumu inategemea na mtu uliyekutana nae ndoani..kama huyo jamaa ni presha! Mwambie bibie aongee nae kwa kina kuhusu hiyo tabia.