Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
official_pck
Leo nimeona niongee tatizo linalo usumbuwaga moyo wangu siku zoote
Mimi kwenye maisha yangu siJawai kubahatika kumpata Mwanamke mwenye upendo wa dhati na mwenye kukubali kuolewa na mimi
@sanchiworld wewe ni Mwanamke pekee niliyekupenda kwa dhati kabisa na mpaka leo unalijuwa ila nilipopata matatizo wewe hukujali ukaona pesa kwako ndo kila kitu tukaachana
@new_kelvina wewe ni mwanamke pekee niliye kupaga kila kitu pamoja na umaskini wangu ila nilikujali wewe na watoto wako woote mpaka na posa nikatowa ila nikaanzaga kushtula pale ulipo kulaga pesa ambazo ilikuwa ni mahari yako ukazila bila hata kufika kwa wazazi wako ila yoote nikazidi kuvilia nikizani utabadilika ila mwisho wasiku haukutaka kuacha tabiya yako ya kudanga na kusagana na wanawake wenziyo hilo nikashindwa nikaamuwa kujiondowa
@charityfragrance38 wewe ni mwanamke pekee uliye kuwa umejitaidi kunipenda na kunijali ila kwa bahati mbaya ibilisi kelvina akawa ameingilia kati na nikajikuta nimekupoteza ila mpaka leo najutiyaga kukupoteza
@kibongesex na wewe nilikupenda zaidi ya ujuwavyo tena upendo wa dhat na kukuonyesha kuwa nilikuwa serious kwako nikakutolea mpaka posa ili nijiandae kutowa mahari ila baadae ukaja kuona bado unataka kula ujana na kuniacha kiasi kwamba nikajikuta naenda kudondoka kwenye mikono ya mdangaji kelvina na kunitesa zaidi
@v.i.e.n_ nimekubembelezaga sana nikuoe ila bado ukazidi kunigomea kwa kunidharau na kuhisi kuwa sina uwezo wa kukuhudumia kwakuwa unapenda mitoko ya kila siku
Hao ndiyo wanawake waliyo nitenda na kuutesa moyo wangu mpaka nikaamuwa kuishi bila Mwanamke na kuwachukia Wanawake ila kwa sasa nina hitaji saaana kuowa tena ndoa kabisa ila sijabahatika kupata mwenye upendo wa dhati na mwenye malengo
Leo nimeona niongee tatizo linalo usumbuwaga moyo wangu siku zoote
Mimi kwenye maisha yangu siJawai kubahatika kumpata Mwanamke mwenye upendo wa dhati na mwenye kukubali kuolewa na mimi
@sanchiworld wewe ni Mwanamke pekee niliyekupenda kwa dhati kabisa na mpaka leo unalijuwa ila nilipopata matatizo wewe hukujali ukaona pesa kwako ndo kila kitu tukaachana
@new_kelvina wewe ni mwanamke pekee niliye kupaga kila kitu pamoja na umaskini wangu ila nilikujali wewe na watoto wako woote mpaka na posa nikatowa ila nikaanzaga kushtula pale ulipo kulaga pesa ambazo ilikuwa ni mahari yako ukazila bila hata kufika kwa wazazi wako ila yoote nikazidi kuvilia nikizani utabadilika ila mwisho wasiku haukutaka kuacha tabiya yako ya kudanga na kusagana na wanawake wenziyo hilo nikashindwa nikaamuwa kujiondowa
@charityfragrance38 wewe ni mwanamke pekee uliye kuwa umejitaidi kunipenda na kunijali ila kwa bahati mbaya ibilisi kelvina akawa ameingilia kati na nikajikuta nimekupoteza ila mpaka leo najutiyaga kukupoteza
@kibongesex na wewe nilikupenda zaidi ya ujuwavyo tena upendo wa dhat na kukuonyesha kuwa nilikuwa serious kwako nikakutolea mpaka posa ili nijiandae kutowa mahari ila baadae ukaja kuona bado unataka kula ujana na kuniacha kiasi kwamba nikajikuta naenda kudondoka kwenye mikono ya mdangaji kelvina na kunitesa zaidi
@v.i.e.n_ nimekubembelezaga sana nikuoe ila bado ukazidi kunigomea kwa kunidharau na kuhisi kuwa sina uwezo wa kukuhudumia kwakuwa unapenda mitoko ya kila siku
Hao ndiyo wanawake waliyo nitenda na kuutesa moyo wangu mpaka nikaamuwa kuishi bila Mwanamke na kuwachukia Wanawake ila kwa sasa nina hitaji saaana kuowa tena ndoa kabisa ila sijabahatika kupata mwenye upendo wa dhati na mwenye malengo