Mwanaume wa Dar bila kuwa na sifa hizi hunipati ng`oo

1.uwe na gari kali
2.Uwe mtanashati
3.Ukoo wenu mzima muwe matajiri
4.Uwe mtundu kitandani
5.Uwe na nyumba kali si kijumba au nyumba ya kupanga
6.Unipe hela ya matumizi sio chini ya 20,000 kwa siku
Bila shaka utakuwa na mimiView attachment 415242
wewe muda huo una nin kati ya hizi ulivovitaja
 
Hivi mtu anaposema dume suluari eti kwa kushindwa kumuhudumia mwanamke kwamba kwa kuwa suruali imezoeleka kuvaliwa na wanaume mbona siku hizi wanawake pia wanavaa suruali na wanadai haki sawa sasa unaonaje mtoa Uzi na wewe tukakubebesha jukumu hilohilo kwamba na sisi ili utupate lazima uwe na hivyo vitu la sivyo acha kila mtu abaki na hamu zake kwa enzi hizi za Magu.
 
1.uwe na gari kali
2.Uwe mtanashati
3.Ukoo wenu mzima muwe matajiri
4.Uwe mtundu kitandani
5.Uwe na nyumba kali si kijumba au nyumba ya kupanga
6.Unipe hela ya matumizi sio chini ya 20,000 kwa siku
Bila shaka utakuwa na mimiView attachment 415242
Kuwa kama mama yako mbona baba 'ako ana baiskeli tu na amewakuza kwa tembele la mtaroni.
 
Kama mwanamke mwenyewe ndio ww hata mia tano ckuhonge matako yenyewe kama box buana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…