Maji Baridi
Senior Member
- Dec 17, 2017
- 120
- 134
Iko hivi, kuna dem kaja hapa mkoani kutoka huko wanapopaita Dar msimu huu wa sikukuu. Sasa akaleta mazoea ya hapa na pale nikajua tu huyu ana njaa na dushe tena ndo hivyo ametoka Dar[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi mwanaume wa mkoani sina makuu nikaona nikimuacha aondoke hivi hivi ataniona ni wale wale. Nikamuingiza kwenye 18 zangu nikampa kile alichokuwa anahitaji sasa imekuwa kama dozi... dem kanogewa hataki tena kurudi.
Juzi mwanaume wake wa Dar anampigia simu akimtaka arudi cha kushangaza dem kaanza kumgomea anamjibu "oooh naumwa" ntarudi week ijayo kumbe wala amenogewa tu dushe...
Kwahiyo wewe mwanaume wa Dar ngoja nikusaidie mashambulizi ya mwisho mwisho hii week iliyobaki then uendelee kusukuma gurudumu lako kivivu panapo week ijayo.....
SINA MAKOSA KATIKA HILI
Basi mwanaume wa mkoani sina makuu nikaona nikimuacha aondoke hivi hivi ataniona ni wale wale. Nikamuingiza kwenye 18 zangu nikampa kile alichokuwa anahitaji sasa imekuwa kama dozi... dem kanogewa hataki tena kurudi.
Juzi mwanaume wake wa Dar anampigia simu akimtaka arudi cha kushangaza dem kaanza kumgomea anamjibu "oooh naumwa" ntarudi week ijayo kumbe wala amenogewa tu dushe...
Kwahiyo wewe mwanaume wa Dar ngoja nikusaidie mashambulizi ya mwisho mwisho hii week iliyobaki then uendelee kusukuma gurudumu lako kivivu panapo week ijayo.....
SINA MAKOSA KATIKA HILI