Mwanaume wa kuchat nae

After flirting mwendelezo wake unakuaje usikute napoteza mda...
 
Unanikumbusha ile Nyimbo
"Monica wanisumbuaa ayeee
Monica wanisumbua ayeyeyeee [emoji444] [emoji444]
 
Yaani mi naomba hii Jf upandee huu Wa hili jukwaa uitwee low thinkers...ivi ninyi mijituu yeye kwashakoo ya kwapani kwa nini mnapenda kuharibu nyuzi za wenzenuuuu..huyoo Dada kakoseaa wapii.umeona huna vigezo unapita hivi...kwa nini enyi Malofaa Wa Mkapa.....nyaaau type......eti uzee Mara mi zipo tayari mara mtaani umekosaa Mara unajiuzaa sasa nyiee mbuziii mmefunguaa huu uzii ili iwejeee majukwaa ya Mapishii hamkuyaonaaa webSmart 911,Na Nyani Ngabu Na wenziooooo...mnijibu muonee Na wotee nawajua mnapoishi msidhani mgeni humu ndaniii......punguaniii kasorooo mikiaaaa
 
.,mbona PM zitajaa b4 hata kesho asubuhi Monica:lol:
 
watu mmeitwa pm/inbox sijui mnafanya nini hapa maneno meeeengi wenzenu wapo bize pm
 
Sijui ni matoto ya secondary ni kuropokaa tu kumbe ni mibaba yenye ndoa Na michepukooo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…