Mwanaume wa kuchat nae

Mwanaume wa kuchat nae

Yaani mi naomba hii Jf upandee huu Wa hili jukwaa uitwee low thinkers...ivi ninyi mijituu yeye kwashakoo ya kwapani kwa nini mnapenda kuharibu nyuzi za wenzenuuuu..huyoo Dada kakoseaa wapii.umeona huna vigezo unapita hivi...kwa nini enyi Malofaa Wa Mkapa.....nyaaau type......eti uzee Mara mi zipo tayari mara mtaani umekosaa Mara unajiuzaa sasa nyiee mbuziii mmefunguaa huu uzii ili iwejeee majukwaa ya Mapishii hamkuyaonaaa webSmart 911,Na Nyani Ngabu Na wenziooooo...mnijibu muonee Na wotee nawajua mnapoishi msidhani mgeni humu ndaniii......punguaniii kasorooo mikiaaaa


Ha ha haaa Nyani Ngabu ujumbe wako
 
mm nina miaka 28 bado kidogo tu, vp nije pm au nisubiri mwaka kesho kutwa?
 
Ra
habari zenu?
natafuta mwanaume wa kuflirt nae, yaani chart za hapa na pale
awe tayari kuwa rafika yangu pia,
umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele, mimi nina miaka 30 pia,
ambaye yupo huru na anajiamini anipm.
Rafiki wa kiroho au kimwili?
 
Yaani mi naomba hii Jf upandee huu Wa hili jukwaa uitwee low thinkers...ivi ninyi mijituu yeye kwashakoo ya kwapani kwa nini mnapenda kuharibu nyuzi za wenzenuuuu..huyoo Dada kakoseaa wapii.umeona huna vigezo unapita hivi...kwa nini enyi Malofaa Wa Mkapa.....nyaaau type......eti uzee Mara mi zipo tayari mara mtaani umekosaa Mara unajiuzaa sasa nyiee mbuziii mmefunguaa huu uzii ili iwejeee majukwaa ya Mapishii hamkuyaonaaa webSmart 911,Na Nyani Ngabu Na wenziooooo...mnijibu muonee Na wotee nawajua mnapoishi msidhani mgeni humu ndaniii......punguaniii kasorooo mikiaaaa
Wewe ni He au She?
 
Majina ya kina Monica hawa utulivu F.
 
30 kwenda mbele bado unataka tuchat habari za kipumbavu tu, kua sereous ueleze lengo lako
 
Back
Top Bottom