Mwanaume wa kuchat nae

Hee! Sasa mbona hasira tena?
 
Hebu acheni utoto, mtu yuko serious halafu mnaleta utani. Kama hujui raha za mahusiano kaa kimya tu fuatilia siasa. Hebu njoo inbox tuyaweke mambo sawa.
 
Baada ya mumeo kukunyima unyumba kama ulivyo sema hapa Mume wangu ananinyima unyumba
Ndo umeamua kutafuta mwanaume wa ku flirt nae? Kwenye uzi huo sikuona mtu aliyekushauri hivyo.
sijakuja kuomba ushauri hapa, ukitaka kushauri nenda kwenye huo uzi.
Baada ya mumeo kukunyima unyumba kama ulivyo sema hapa Mume wangu ananinyima unyumba
Ndo umeamua kutafuta mwanaume wa ku flirt nae? Kwenye uzi huo sikuona mtu aliyekushauri hivyo.
 
Za saa hizi ndugu
 
Ati elimu ya hapa na pale au kuchart kwa hapa na pale? Kuna dalili ya magumashi hapa
 
Habari zenu?

Natafuta mwanaume wa kuflirt nae, yaani chart za hapa na pale awe tayari kuwa rafiki yangu pia.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele, mimi nina miaka 30 pia.

Ambaye yupo huru na anajiamini ani PM.
Hello naitwa amana 30yrs...interested to be your friend!!! In Dar..you?
 
Habari zenu?

Natafuta mwanaume wa kuflirt nae, yaani chart za hapa na pale awe tayari kuwa rafiki yangu pia.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele, mimi nina miaka 30 pia.

Ambaye yupo huru na anajiamini ani PM.
 
Habari zenu?

Natafuta mwanaume wa kuflirt nae, yaani chart za hapa na pale awe tayari kuwa rafiki yangu pia.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele, mimi nina miaka 30 pia.

Ambaye yupo huru na anajiamini ani PM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…