mwanaume wa kumalizia nae weekend

mwanaume wa kumalizia nae weekend

Niliwahi kuahidiwa zawadi kama hivi mwisho wa siku mrembo akanilisha Kabaang, nililaani mpaka leo.
 
huyu Jenu yeye anapatikana wikiend tu halafu kama namjua vile
kafanana na sinia memba mmoja humu kwa kila kitu looo
all the best shost raha kujipa mwenyewe usisahau ladypepeta tu

Hisia zako zinaweza kuwa za kweli kabisa.

Mfano kuna mwanamme mmoja humu ana Id ya kike . . . duh!!
Eti naye huwa anakuja kuomba ushauri . . mmmh!!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hisia zako zinaweza kuwa za kweli kabisa.

Mfano kuna mwanamme mmoja humu ana Id ya kike . . . duh!!
Eti naye huwa anakuja kuomba ushauri . . mmmh!!
ha ha mi mwenyewe na id ya kiume nawatongozaje humu teh teh teh utamu wakinipa no hapo ndo napoingia mtini
 
ha ha mi mwenyewe na id ya kiume nawatongozaje humu teh teh teh utamu wakinipa no hapo ndo napoingia mtini

Kwa hili namwambia Paloma aje akukoe mikwenzi.

Utawafanya watu wasiaminiane kwenye matongozo yao hata kama wana uhitaji kiukwelii ukwelii.
 
Last edited by a moderator:
Asanteni wote mliojitokeza,mmejitahidi hamjaniangusha,isipokuwa mmoja tu hakujipanga vizuri,na hongera kwa aliyejinyakulia donge nono,kwa mliokosa next weekend njooni na style mpya,gnt
 
Kwa hili namwambia Paloma aje akukoe mikwenzi.

Utawafanya watu wasiaminiane kwenye matongozo yao hata kama wana uhitaji kiukwelii ukwelii.

dawa ni kutongozana live...akikuzukia mtu humu unampa kavu za uso hata kama ni unajua jina la mtu ni Paloma. Umeprove vipi kwamba ni she au ni he?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom