Mwanaume wa kunifuta machoz

Goodmorning mimi ni mwanamke umri 28.ni mama wa mtoto moja ninatafuta mwanaume wa kunifuta mchoz baadae awe mume wangu.umri wake uwe kuanzia miaka 35 mpaka 50.
asanten na sku njema

Kama kweli uko serious hii tasnifu haitakusaidia kumpata mwanaume aliye serious atakaye kufuta machozi kama unavyotarajia magila
nadhani unatakiwa kujitambulisha vizuri zaidi ili ufahamike vizuri wasifu wako.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya mie ndio nina mfuta machozi kaisha nipata soon atakuja hapa magila ku thibitisha yeye mwenyewe
Kama kweli uko serious hii tasnifu haitakusaidia kumpata mwanaume aliye serious atakaye kufuta machozi kama unavyotarajia magila
nadhani unatakiwa kujitambulisha vizuri zaidi ili ufahamike vizuri wasifu wako.
 
Last edited by a moderator:
utafutwa machozi kwa kuongezewa kababy kengine kamoja. jiandae kulea tu
 
utafutwa machozi kwa kuongezewa kababy kengine kamoja. jiandae kulea tu

King'asti usimtishe mwenzako bana. Hajasema kama anaogopa/hataki/hapendi kuongeza ka baby kengine.
Afu ujue kufutana machozi kukufuatiwa na kababy kunanoga!?
 
Last edited by a moderator:
utafutwa machozi kwa kuongezewa kababy kengine kamoja. jiandae kulea tu

King'asti usimtishe mwenzako bana. Hajasema kama anaogopa/hataki/hapendi kuongeza ka baby kengine.
Afu ujue kufutana machozi kukufuatiwa na kababy kunanoga!?
 
Last edited by a moderator:
Serious mkuu siwezi fanya mchezo kwenye mambo yanayogusa maisha ya watu. Asante sana mkuu
Serious manoah??
Usije ukawa unatuchezea mchezo wa kupaki basi kama Mourinho ili wengine tukate tamaa?
Anyway kama kimeeleweka basi niwatakie kheri wewe na bibie magila.
 
Last edited by a moderator:
Mama wa kukufuta machozi ndiye mie. Nimezaliwa mwaka 1963, ninaishi mkoani, ninafanya kazi ya ulinzi. Nina elimu ya chuo, ninajua kuongea kiingereza vizuri. Naweza pia kuosha vyombo na kufua nguo, pia kupika. Zamani nilifundisha chekechea napatikana kwenye face book. Nitumie namba yako ya simu.
 
Afu inaelekea wewe ni bingwa wa make up sex teh teh. Ile bwana lazna ijibu lol
King'asti usimtishe mwenzako bana. Hajasema kama anaogopa/hataki/hapendi kuongeza ka baby kengine.
Afu ujue kufutana machozi kukufuatiwa na kababy kunanoga!?
 
Last edited by a moderator:
hi!pole sana mumy 4ur broken heart,bali usichukuwe mahamuzi ya haraka kiasi hicho kuwa na man mapema kwanza kaha chini tafuta wapi ulipo kosea kisa angaria mbere.kwani mapenzi ya sasa hatari.hata sisi tuna mengi lakini tunakufa nayo moyoni.tafakari kwanza mumy.
 
Goodmorning mimi ni mwanamke umri 28.ni mama wa mtoto moja ninatafuta mwanaume wa kunifuta mchoz baadae awe mume wangu.umri wake uwe kuanzia miaka 35 mpaka 50.
asanten na sku njema

kuwa makini asije akakuongezea machozi ukarudi hapa kutafuta wa kuku nunulia kitambaa cha kufuta machozi
 
Kama kweli uko serious hii tasnifu haitakusaidia kumpata mwanaume aliye serious atakaye kufuta machozi kama unavyotarajia magila
nadhani unatakiwa kujitambulisha vizuri zaidi ili ufahamike vizuri wasifu wako.

Nimependa hili tasnifu:ni ipi yaweza kuwa maana yake kwa maneno mengine,!
 
Last edited by a moderator:
Goodmorning mimi ni mwanamke umri 28.ni mama wa mtoto moja ninatafuta mwanaume wa kunifuta mchoz baadae awe mume wangu.umri wake uwe kuanzia miaka 35 mpaka 50.
asanten na sku njema

Ngoja nikuPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…