Mwanaume wa kuzaa nae!

Wanaume wote mtaani hukuona wa kukuzalisha bidada mpaka unakuja kutafuta humu?

Kweli haya majanga, ukifanikiwa kupata usiache kutupa mrejesho.
 
Reactions: y-n
queen Girl,

kwa habari ya kumzuia mtu asiwe na mahusiano na mtoto wake hapo unaweza ukadanganywa ukapewa mimba halafu jamaa akawa anawatch you movements na mtoto akiwa mkubwa atatafuta tu namna ya kuungana na mtoto wake. kwa mfano akiuchukua huu uzi akatembea nao siku akimwonyesha huyo mtoto hawezi kukataa kwamba sio baba yake, hapo hatujazungumzia DNA etc. hata ukiweka makubaliano ya maandishi nchi hii mtoto ni wa baba kwa hiyo kama mtu atathibitisha alikupa mimba au ana uhusiano na huyo mtoto hutaweza kulizuia hili
 
Njoo PM tuwasiliane
 
Sijaona akina GOVINDA nao watupe ndoano zao?maana mimi nina sifa zote ila GOVINDA...utanisaidiaje ?
 

kwa habari ya kumzuia mtu asiwe na mahusiano na mtoto wake hapo unaweza ukadanganywa ukapewa mimba halafu jamaa akawa anawatch you movements na mtoto akiwa mkubwa atatafuta tu namna ya kuungana na mtoto wake. kwa mfano akiuchukua huu uzi akatembea nao siku akimwonyesha huyo mtoto hawezi kukataa kwamba sio baba yake, hapo hatujazungumzia DNA etc. hata ukiweka makubaliano ya maandishi nchi hii mtoto ni wa baba kwa hiyo kama mtu atathibitisha alikupa mimba au ana uhusiano na huyo mtoto hutaweza kulizuia hili
 
njoo inbox nina sifa zinazohitajika
 
hahahaaa basi sitasema matatizo yenu kwa sababu ni kabila ambalo nalipenda sana (ila siyo kuwa mmasai yaani napenda uwepo wa wamasai na nina marafiki wamasai wazuri tu) na role model wangu unamjua...rais wa mioyo ya watu
Heheh sawa mkuu Wamasai hatunaga shida kabisa.karibu oldonyo Sambu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…