Anajua Wakurya hawachii Watoto kiholela( damu ya mkurya haipotei kizembe),hivyo ana hofu,ila watakaopata hiyo fursa kumbuka kupima kwanza.Mi ninanzo zoote tatizo ni Mkurya,kwani whats wrong with Kabila,Unataka kutambikaa!!!!!!!!!!
Mkuu nimekupata,kumbe ni weweDah sasa unataka mwanaume wa aina gani kama unamkataa mkurya na muhaya ambao ndio mapande ya watu na wenye IQ kubwaa
Nikapiga show la uhakika, ukadata, si utataka tena?Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.
Umetafakari vizuri kabla hujachukua uamuzi maana malezi ya mtoto yanahiwahitaji wazazi wote any way hongeraNatafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mapenzi ya sasahivi bhana hatari sana unachagua kama viatu vya mtumba [emoji23] [emoji23] Mi Masai nakuja InboxNatafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.