Mwanaume wa kuzaa nae!

Mwanaume wa kuzaa nae!

Hapo ni kugegedana hadi mimba ifike miezi 7 au 8 ndo tunaacha. Hadi hapo utakuwa ushakuwa mke kabisa.
 
Mi ninanzo zoote tatizo ni Mkurya,kwani whats wrong with Kabila,Unataka kutambikaa!!!!!!!!!!
Anajua Wakurya hawachii Watoto kiholela( damu ya mkurya haipotei kizembe),hivyo ana hofu,ila watakaopata hiyo fursa kumbuka kupima kwanza.
 
Huyu anataka mgegedo na mume wa mtu sio kingine [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ongeza benefits hapo....
1.Mtoto ni damu yangu siwez kumuacha kisa vihela vyako
2.Nikitaka mzigo unanipa muda wowote
3.Mambo yakikukwama baadae tusianze kusumbuana baadae unataka hela ya malezi ya mtoto na wewe uanze kutuma risiti za ada instagram
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Nikapiga show la uhakika, ukadata, si utataka tena?
 
Hamisa Mobeto naona umekuja kivingine utukwangue tu elfu 70 twetu kwa siku...
 
Wewe unatugeuza wanaume kuwa mabeberu, umetuzalilisha sana hususa sisi waume za watu tena wa 30+.
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.

Mm msukuma ila nina 31, years, sifa zingine zote ninazo, nifate mp
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Umetafakari vizuri kabla hujachukua uamuzi maana malezi ya mtoto yanahiwahitaji wazazi wote any way hongera
 
Kwa vigezo vyako..jipe mimba mwenyewe tuone. .duniani hakuna MTU mbaya.
 
Ayiaaaaaaaaaaa [emoji134][emoji134] basi tena
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mapenzi ya sasahivi bhana hatari sana unachagua kama viatu vya mtumba [emoji23] [emoji23] Mi Masai nakuja Inbox
 
Back
Top Bottom