Lakini enzi hizo, wanawake hawakuwa wakaidi, jaribu style hizo siku hizi :suspicious:Mwanaume wa zamani akiwa anamtaka mwanamke
1: Akiwa Bar na wamekaa meza moja atazungusha raundi hata kwa hela za kukopa
2: Daladalani atakuwa gentle na kukulipia nauli hata kama ilikuwa yake ya kurudia
3: Kazini atakua anakusifia na kukununulia Lunch-vi tripu tripu na ni promo kama kawa
4: Boss na mwalimu hawa uwa wakali na wafokaji na kuweka mazingira ya uwoga ili akitongoza asikataliwe na Dukani na Masokoni utakuwa unaongezewa kipimo.
Kama ni JF modes atakuwa anakupiga ban za mara kwa mara ili ujibu PM:-*
Ur welcome Rose am here to help people like u
Mwanaume wa zamani akiwa anamtaka mwanamke
1: Akiwa Bar na wamekaa meza moja atazungusha raundi hata kwa hela za kukopa
2: Daladalani atakuwa gentle na kukulipia nauli hata kama ilikuwa yake ya kurudia
3: Kazini atakua anakusifia na kukununulia Lunch-vi tripu tripu na ni promo kama kawa
4: Boss na mwalimu hawa uwa wakali na wafokaji na kuweka mazingira ya uwoga ili akitongoza asikataliwe na Dukani na Masokoni utakuwa unaongezewa kipimo.
Kama ni JF modes atakuwa anakupiga ban za mara kwa mara ili ujibu PM:-*
ennhh jaman nampenda mod ata km simjui...thaxx kwa kunipa mbinu ili niweze pata pm ayake na mimi nipate pa kuaazia...LONG LIVE NGULI...
Hah hah hah, Rose, karo hiyo inahitajika na Nguli!!
niandalie swaga basi itakayomfanya mod ANIONE..
Wameoa hao, ohooooo! Tena wake zao wapo humu humu!
ameoa...so wat?
inanihusu nini mimi labda?
we vp bwna..KWAN NDOA NDO NIN?
ebu ukooo tokazako mod mwenzangu ma hat goesss mwaaaaapwaaaaaaaabwaaaaaaaaaaaa anytime m thnkng abt u...ngoja nikamchek nguli anpe mistar dnt go ..nsubiri apo apo...
Asikuzengue Rose annza hivi
Mode habari yako bana hivi mbona thread haszidisplay
au yangu computer inatatizo upande wa display
sometimes na force CD labda au pengine zaita play
Chakushangza za wengine zoote wanadai zina fly
Hili tatizo ni la muda mrefu linatatiza yangu akili
Sipendi lizidi kunisumbua itanibidi ninywe moja kili
aanzia hapo