Mwanaume wa zamani akiwa anamtaka mwanamke

Mwanaume wa zamani akiwa anamtaka mwanamke

du,Nguli Jabali!!!!


Between men and women there is no friendship possible. There is passion, enmity, worship, love, but no friendship

Sijakupata hapa mzee
 
Mwanaume wa zamani akiwa anamtaka mwanamke

1: Akiwa Bar na wamekaa meza moja atazungusha raundi hata kwa hela za kukopa

2: Daladalani atakuwa gentle na kukulipia nauli hata kama ilikuwa yake ya kurudia

3: Kazini atakua anakusifia na kukununulia Lunch-vi tripu tripu na ni promo kama kawa

4: Boss na mwalimu hawa uwa wakali na wafokaji na kuweka mazingira ya uwoga ili akitongoza asikataliwe na Dukani na Masokoni utakuwa unaongezewa kipimo.

Kama ni JF modes atakuwa anakupiga ban za mara kwa mara ili ujibu PM:-*

hii ni kwa mazingira ya mjini, kwasisi tuiozaliwa vijijini huwa hivi;
1. kwanza lazima umpate mwanamke waliyezoeana nae sana sana halafu ndo umtume zawadi ya aidha mafuta ya Rays au sabuni ya Rexona
2. lazima appointment ya kwanza ni kwenye majani wakati akitoka sokoni wakati huo yule rafiki yake akiwaangalizia soo
3. usipomuangusha chini na kula mzigo, unaweza kumtongoza hata miaka 10
4. ukimla lazima aondoke analia na kukutukana-"ukome kama ulivyokoma kwenye ziwa la mama yako"-halafu kesho yake lazima aanze kujipitisha mitaa yenu na watoto.
5.ili kujiongezea umaarufu, lazima uazime baiskeli ya mshikaji wako halafu ndo ujipitishepitishe mitaa yao.
6.lazima ufanye mazoezi ya mieleka na kungfu kidogo kwasababu lazima mshikaji wake wa zamani mgombane au kaka zake
7. akiwa mke wa mtu lazima uwe unamgongea kwenye mapori, ukimgongea pagarani tu-jua umefumaniwa.
 
Asikuzengue Rose annza hivi

Mode habari yako bana hivi mbona thread haszidisplay
au yangu computer inatatizo upande wa display
sometimes na force CD labda au pengine zaita play
Chakushangza za wengine zoote wanadai zina fly
Hili tatizo ni la muda mrefu linatatiza yangu akili
Sipendi lizidi kunisumbua itanibidi ninywe moja kili

aanzia hapo

nishamtupia pale kat saizi anasema nayo shair murwa..akinitosa ntakuja kukwambia akinipa ban ntatumia id yako au siyo bana?
 
Hamna mod wa kike???:disapointed::disapointed::disapointed:

heeeeeeeeee nini?
komaaa weee mod wa kike unamtakaje?
mi kutoka nje ya BOKS lako haina maana sikupend its just m doin ma ADVENTURE..so u just wwait for me i wl b bak....
 
heeeeeeeeee nini?
komaaa weee mod wa kike unamtakaje?
mi kutoka nje ya BOKS lako haina maana sikupend its just m doin ma ADVENTURE..so u just wwait for me i wl b bak....

Tulia kidogo basi....nacheki na mods kidogo...nothing personal ujue....
 
ameoa...so wat?
inanihusu nini mimi labda?
we vp bwna..KWAN NDOA NDO NIN?
ebu ukooo tokazako mod mwenzangu ma hat goesss mwaaaaapwaaaaaaaabwaaaaaaaaaaaa anytime m thnkng abt u...ngoja nikamchek nguli anpe mistar dnt go ..nsubiri apo apo...

:heh: :heh:

Amisaaaaaaaaaaa eeeeeeh eeeeeeeeh!
Nimetokea kumpenda ewe Amiiiiisaaaaa!
Amisaaa umezaliwa Mpwampwa, ila waishi dodomaaaa
Kila nikifikiria AMisa nikuamishie Daresalamaaaaaa, lakini naogopa Amisa weeeee
 
Back
Top Bottom