Okrap
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,112
- 2,311
Mwanaume wangu kafanya kweli
️
Ni mshabiki wa Simba huyu jamaa, kanishangaza hadi kunishika mtima wangu baada ya team yangu kufungwa na Simba, nilikuwa shabiki wa yanga lakini sasa.... .
Akii nimeinjoy kimasihara, leo kachangamka na kachangamka hadi nikamuona yule pastor aliyekuwa ameniteka kihisia hana lolote kabisa.
Ipo hivi tulikuwa umekaa sebuleni tunatambishiana tu kila mmoja akiponda timu upinzani.
Baada tu ya yule jamaa sijui nani Inonga kuingiza goli la kwanza mzee baba alinirukia tukaanguka kwa carpet heheheee kilichotokea hapo nilivishwa mbawa nikapaa hadi mawinguni na kutua mlima kilimanjaro pale kwa wachaga kileleni kabisa
️
Mambo yakiwa yamenoga nikasikia kwa TV mayoweee sijui nani tena Kibu au aaaassh sikumbuki vizuri ila hilo goli la pili lilisababisha mzee baba anibebe begani na kunipeleka uwanja wa fundi seremala woooi woooi nikapandishwa tena mawinguni na kutua kileleni pale pale kilimanjaro
️
Nimehama Yanga leo mazima mie sio utoporo tena
I will love you forever my babe
Ni mshabiki wa Simba huyu jamaa, kanishangaza hadi kunishika mtima wangu baada ya team yangu kufungwa na Simba, nilikuwa shabiki wa yanga lakini sasa.... .
Akii nimeinjoy kimasihara, leo kachangamka na kachangamka hadi nikamuona yule pastor aliyekuwa ameniteka kihisia hana lolote kabisa.
Ipo hivi tulikuwa umekaa sebuleni tunatambishiana tu kila mmoja akiponda timu upinzani.
Baada tu ya yule jamaa sijui nani Inonga kuingiza goli la kwanza mzee baba alinirukia tukaanguka kwa carpet heheheee kilichotokea hapo nilivishwa mbawa nikapaa hadi mawinguni na kutua mlima kilimanjaro pale kwa wachaga kileleni kabisa
Mambo yakiwa yamenoga nikasikia kwa TV mayoweee sijui nani tena Kibu au aaaassh sikumbuki vizuri ila hilo goli la pili lilisababisha mzee baba anibebe begani na kunipeleka uwanja wa fundi seremala woooi woooi nikapandishwa tena mawinguni na kutua kileleni pale pale kilimanjaro
Nimehama Yanga leo mazima mie sio utoporo tena
I will love you forever my babe