Mwanaume wangu kanifanya nihamie Simba kutoka Yanga

Mwanaume wangu kanifanya nihamie Simba kutoka Yanga

Why zao la shule za kata mkuu?
emoji23.png
Shule za kata zote ni zao la CCM, Yanga nao ni zao la ccm sasa Dr Haya land anaumia sana kwa mshabiki wa yanga kuhamia Simba. 😂😂
 
Mwanaume wangu kafanya kweli
emoji173.png


Ni mshabiki wa Simba huyu jamaa, kanishangaza hadi kunishika mtima wangu baada ya team yangu kufungwa na Simba, nilikuwa shabiki wa yanga lakini sasa.... .

Akii nimeinjoy kimasihara, leo kachangamka na kachangamka hadi nikamuona yule pastor aliyekuwa ameniteka kihisia hana lolote kabisa.

Ipo hivi tulikuwa umekaa sebuleni tunatambishiana tu kila mmoja akiponda timu upinzani.

Baada tu ya yule jamaa sijui nani Inonga kuingiza goli la kwanza mzee baba alinirukia tukaanguka kwa carpet heheheee kilichotokea hapo nilivishwa mbawa nikapaa hadi mawinguni na kutua mlima kilimanjaro pale kwa wachaga kileleni kabisa
emoji173.png


Mambo yakiwa yamenoga nikasikia kwa TV mayoweee sijui nani tena Kibu au aaaassh sikumbuki vizuri ila hilo goli la pili lilisababisha mzee baba anibebe begani na kunipeleka uwanja wa fundi seremala woooi woooi nikapandishwa tena mawinguni na kutua kileleni pale pale kilimanjaro
emoji173.png


Nimehama Yanga leo mazima mie sio utoporo tena

I will love you forever my babe
emoji173.png
Idiot
 
Mwanaume wangu kafanya kweli
emoji173.png


Ni mshabiki wa Simba huyu jamaa, kanishangaza hadi kunishika mtima wangu baada ya team yangu kufungwa na Simba, nilikuwa shabiki wa yanga lakini sasa.... .

Akii nimeinjoy kimasihara, leo kachangamka na kachangamka hadi nikamuona yule pastor aliyekuwa ameniteka kihisia hana lolote kabisa.

Ipo hivi tulikuwa umekaa sebuleni tunatambishiana tu kila mmoja akiponda timu upinzani.

Baada tu ya yule jamaa sijui nani Inonga kuingiza goli la kwanza mzee baba alinirukia tukaanguka kwa carpet heheheee kilichotokea hapo nilivishwa mbawa nikapaa hadi mawinguni na kutua mlima kilimanjaro pale kwa wachaga kileleni kabisa
emoji173.png


Mambo yakiwa yamenoga nikasikia kwa TV mayoweee sijui nani tena Kibu au aaaassh sikumbuki vizuri ila hilo goli la pili lilisababisha mzee baba anibebe begani na kunipeleka uwanja wa fundi seremala woooi woooi nikapandishwa tena mawinguni na kutua kileleni pale pale kilimanjaro
emoji173.png


Nimehama Yanga leo mazima mie sio utoporo tena

I will love you forever my babe
emoji173.png
Nahisi mko wawili tu ndani yaani mi mashine imenisimama kwa stori yako inaonekana umetuna tuna vizuri eti...
 
Unawaza minjunjano tu muda wote, endelea mama kwa raha zako hadi hizo figo na maini vihamie upande mwingine[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]yaan wadada design yako mnajikutaga mahustler kichizi......aya tuonyeshe balance ya iyo bank account yako wewe ambae unawaza kazi muda wote



Nawasilisha
Wako mtuiifuuu
Labia majora
L.majora
 
Ushauri wa bure mshauri mumeo mara moja moja muwe mnaenda kupiga show uwanja wa ugenini (Lodge flani iviii amassing) mnapiga show mpaka asubuhi ....maana mnaonekana kama mmezoeana sana kiasi kwamba nyege za kutafta kwa tochi
 
Mwanaume wangu kafanya kweli
emoji173.png


Ni mshabiki wa Simba huyu jamaa, kanishangaza hadi kunishika mtima wangu baada ya team yangu kufungwa na Simba, nilikuwa shabiki wa yanga lakini sasa.... .

Akii nimeinjoy kimasihara, leo kachangamka na kachangamka hadi nikamuona yule pastor aliyekuwa ameniteka kihisia hana lolote kabisa.

Ipo hivi tulikuwa umekaa sebuleni tunatambishiana tu kila mmoja akiponda timu upinzani.

Baada tu ya yule jamaa sijui nani Inonga kuingiza goli la kwanza mzee baba alinirukia tukaanguka kwa carpet heheheee kilichotokea hapo nilivishwa mbawa nikapaa hadi mawinguni na kutua mlima kilimanjaro pale kwa wachaga kileleni kabisa
emoji173.png


Mambo yakiwa yamenoga nikasikia kwa TV mayoweee sijui nani tena Kibu au aaaassh sikumbuki vizuri ila hilo goli la pili lilisababisha mzee baba anibebe begani na kunipeleka uwanja wa fundi seremala woooi woooi nikapandishwa tena mawinguni na kutua kileleni pale pale kilimanjaro
emoji173.png


Nimehama Yanga leo mazima mie sio utoporo tena

I will love you forever my babe
emoji173.png
Chai
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yaan wadada design yako mnajikutaga mahustler kichizi......aya tuonyeshe balance ya iyo bank account yako wewe ambae unawaza kazi muda wote



Nawasilisha
Wako mtuiifuuu
Labia majora
L.majora
Iwe msigazi toina magezi
 
"Baada tu ya yule jamaa sijui nani Inonga kuingiza goli la kwanza mzee baba alinirukia tukaanguka kwa carpet"

Mkakutana eye contact,then ukawa unahema juu Kwa juu akakuchapa makiss ukapagawa......….................“Baby nakupenda,nakushukuru wewe ni wangu tu hatutaachana” Figo 76 akasema
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yaan wadada design yako mnajikutaga mahustler kichizi......aya tuonyeshe balance ya iyo bank account yako wewe ambae unawaza kazi muda wote



Nawasilisha
Wako mtuiifuuu
Labia majora
L.majora
Kumbe upo humu kwa show off? kuonyeshana balance for what? Kuna sehemu nimekwambia nawaza kazi muda wote, haya account yangu ina overdraft so ushari wako ni upi?
 
Back
Top Bottom