Majibu:
1. Hakuna madhara ya kutahiriwa kama tohara itafanyika na daktari au ngariba mzuri. Uzuri wa tohara ni kuwa mwanaume anaweza kujiweka katika hali ya usafi kirahisi na kupunguza infection. Kichanga kufanyiwa tohara saa nyingine kunaweza kuuharibu uume wake kwa sababu bado mdogo na daktari anaweza kukata pasipo lakini huwa anapona haraka kuliko mtu mzima. Kufanyiwa tohara kienyeji (jando) kunaweza kuwa na athari zake. Naomba uangalie hii documentary (NOT X-rated) toka South Africa.
Ndiyindoda: I am a man - People & Power - Al Jazeera English
2. Hakuna madhara makubwa kwa mwanamke akifanya mapenzi na mume asietahiriwa hasa kama wako kwenye monogomous relationship. Kama mume ana wanawake wengi basi inakuwa rahisi kwake kusambaza magonjwa (kama yeast infection, nk.) kutoka mmoja hadi mwengine.
3. Ndio, mtu mzima anaweza kufanyiwa tohara. Baada ya kidonda kupona anaweza kuwa na sensitivity kidogo wakati wa kufanya mapenzi lakini hiyo itapita haraka sana. He will be back in full swing before he knows it.
4. Kwa mwanamke hataona tofauti yoyote katika utamu pre and post tohara ya mpenzi wake. Kwa mwanamme pia utamu utabaki palepale bali zingatia jibu na. 3.
I hope this helps.