leonardbuba
Member
- Nov 30, 2017
- 47
- 26
Unajua wanawake wengi sasa hivi wanalalamika wanaume tuna vibamia na hatuwalizishi, sasa kwani nyie mnahitaji tuwe tunashiriki tendo la ndoa kama mashindano na sio starehe ilhari ni kitu cha kufurahia ila nyinyi mnahitaji tukae vifuani kwenu saa nzima na hilo/hicho ndicho chanzo kikuu cha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume,kwanini?
Kwa maana wanaume wengi tunakosa kujiamini na tunapelekea kuanza kutumia dawa kadhaa wa kadhaa ambazo zinafanya tunapoteza kabisa nguvu za kiume na ushupavu kwenye tendo. Sasa swali langu nyie wanawake mnataka tuwe kunakeshea vifuani kwenu? Tujuzane sio ambao hatutaki dawa zaidi ya nguvu za asili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maana wanaume wengi tunakosa kujiamini na tunapelekea kuanza kutumia dawa kadhaa wa kadhaa ambazo zinafanya tunapoteza kabisa nguvu za kiume na ushupavu kwenye tendo. Sasa swali langu nyie wanawake mnataka tuwe kunakeshea vifuani kwenu? Tujuzane sio ambao hatutaki dawa zaidi ya nguvu za asili.
Sent using Jamii Forums mobile app