Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Mwandikishaji kutoka mtaa wa jeshini, makambako Njombe kutoka aliyejitambulisha kwa jina la Pasdia Kayombo, asema mwitiko wa wananchi kushiriki kwenye kujiandikisha uchaguzi wa serikali za mitaa ni wa wastani, na kwamba umeongezeka kidogo baada ya hamasa kuongezwa akiongeza kuwa ni muhimu elimu kuendelea kutolewa ili wajiandikishe sababu viongozi watakaowachagua ndio watakaowasimimamia na kushirikiana katika kuleta maendelo.
Kupata matukio yote kuhusu mkoa huu soma: Yanayojiri kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoa wa Njombe
Pasdia awahimiza wananchi wanednelee kujitokeza kujiandikisha japokuwa zoezi linaenda kuhitimimishwa leo Oktoba 20, 2024.
Mwandikishaji mwingine hakuwa mbali na Pasdia na kusema angalau hali inatia moyo siku zilivyosonga, kwani mwanzoni hali ilikuwa hairidhishi.
Pia soma:
LGE2024 - Uzi Maalum wa Kasoro na Rafu kwenye zoezi zima la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mwandikishaji kutoka mtaa wa jeshini, makambako Njombe kutoka aliyejitambulisha kwa jina la Pasdia Kayombo, asema mwitiko wa wananchi kushiriki kwenye kujiandikisha uchaguzi wa serikali za mitaa ni wa wastani, na kwamba umeongezeka kidogo baada ya hamasa kuongezwa akiongeza kuwa ni muhimu elimu kuendelea kutolewa ili wajiandikishe sababu viongozi watakaowachagua ndio watakaowasimimamia na kushirikiana katika kuleta maendelo.
Kupata matukio yote kuhusu mkoa huu soma: Yanayojiri kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoa wa Njombe
Pasdia awahimiza wananchi wanednelee kujitokeza kujiandikisha japokuwa zoezi linaenda kuhitimimishwa leo Oktoba 20, 2024.
Mwandikishaji mwingine hakuwa mbali na Pasdia na kusema angalau hali inatia moyo siku zilivyosonga, kwani mwanzoni hali ilikuwa hairidhishi.
Pia soma:
LGE2024 - Uzi Maalum wa Kasoro na Rafu kwenye zoezi zima la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024