Mwandiko mzuri, kichwani hamna kitu. Hii ndio elimu ya TZ

Tatizo ni lugha. Km angelijibu kwa Kiswahili, angeliandika kitu chenye kuleta maana hata km jibu lisingelikuwa sahihi.

Mbona hakukosea saaanaaa spellings kama kweli hajui japo neno moja la English? Unadhani akiulizwa swali hilo hilo kwa Kiswahili ndio ataweza kulijibu kama inavyotakiwa? Mbona hata Kiswahili chenyewe wamefeli kupiata maelezo?
 
duh....umenichekesha mkuu!!! na huyu alikua anatarajia kwenda a-level tena pcb mhhh!!! hapa kazi ipo....ivi ule mtihani wa fom2 upo...nadhani ungepunguza haya matatizo...

Ndio umerudishwa sasa, pengine kutakuwa na ahueni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…