Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
Tatizo ni lugha. Km angelijibu kwa Kiswahili, angeliandika kitu chenye kuleta maana hata km jibu lisingelikuwa sahihi.
Mbona hakukosea saaanaaa spellings kama kweli hajui japo neno moja la English? Unadhani akiulizwa swali hilo hilo kwa Kiswahili ndio ataweza kulijibu kama inavyotakiwa? Mbona hata Kiswahili chenyewe wamefeli kupiata maelezo?