Mwandishi ashangazwa maua kutelekezwa baada ya mkutano kumalizika

Mwandishi ashangazwa maua kutelekezwa baada ya mkutano kumalizika

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Screenshot_20250209-223151_X.jpg

20250209_223338.jpg

20250209_223341.jpg
 
😄😄😄😄 numekumbuka shangazi flani hvi yupo kimara suka kule..

Yaani mwanzoni mwanzoni kabla atuja naniliana alikua yupo very charming daaah.

Baada ya kuzagamuana sijui akapandwa na mdudu gani an ilikua ni hatareee ...

Yeye hataki niwe na simu
Hataki niwe busy
Ataki chochote yeye ni kazi kazi

Nikaona huyu atakuja kuniua nikaamua kumtelekeza kama hayo maua yaani kimya kimya..

Sasa hv ananidanganya na vi party vyake et niende

Nikamwambia""" naijua hiyo mbakaji mkubwa wewe """"
 
😄😄😄😄 numekumbuka shangazi flani hvi yupo kimara suka kule..

Yaani mwanzoni mwanzoni kabla atuja naniliana alikua yupo very charming daaah.

Baada ya kuzagamuana sijui akapandwa na mdudu gani an ilikua ni hatareee ...

Yeye hataki niwe na simu
Hataki niwe busy
Ataki chochote yeye ni kazi kazi

Nikaona huyu atakuja kuniua nikaamua kumtelekeza kama hayo maua yaani kimya kimya..

Sasa hv ananidanganya na vi party vyake et niende

Nikamwambia""" naijua hiyo mbakaji mkubwa wewe """"
Mpe namba yangu ndo nawapendaga wa hvy
 
😄😄😄😄 numekumbuka shangazi flani hvi yupo kimara suka kule..

Yaani mwanzoni mwanzoni kabla atuja naniliana alikua yupo very charming daaah.

Baada ya kuzagamuana sijui akapandwa na mdudu gani an ilikua ni hatareee ...

Yeye hataki niwe na simu
Hataki niwe busy
Ataki chochote yeye ni kazi kazi

Nikaona huyu atakuja kuniua nikaamua kumtelekeza kama hayo maua yaani kimya kimya..

Sasa hv ananidanganya na vi party vyake et niende

Nikamwambia""" naijua hiyo mbakaji mkubwa wewe """"
Yanaanzaga hivyo yakishazingua. Kuna mmoja alizinguaga baadaye anajiletaleta eti baby. Baby mafii yako!

Nyau de adriz
 
😄😄😄😄 numekumbuka shangazi flani hvi yupo kimara suka kule..

Yaani mwanzoni mwanzoni kabla atuja naniliana alikua yupo very charming daaah.

Baada ya kuzagamuana sijui akapandwa na mdudu gani an ilikua ni hatareee ...

Yeye hataki niwe na simu
Hataki niwe busy
Ataki chochote yeye ni kazi kazi

Nikaona huyu atakuja kuniua nikaamua kumtelekeza kama hayo maua yaani kimya kimya..

Sasa hv ananidanganya na vi party vyake et niende

Nikamwambia""" naijua hiyo mbakaji mkubwa wewe """"
Kila jambo kwa kiasi. Duniani hatupo kwa jambo moja tu 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom