Mwandishi Eric Kabendera aelezea jinsi Vodacom Tanzania ilivyomkamatisha kwa vyombo vya Usalama

Mwandishi Eric Kabendera aelezea jinsi Vodacom Tanzania ilivyomkamatisha kwa vyombo vya Usalama

Msichokijua ni kwamba hata hayo makampuni ya kutoa huduma za mitandao ya simu yanamilikiwa na hao Mawakala wa Siri wa shughuli za utekaji. That's why taarifa zote kabisa za wateja wa mitandao hiyo huwa ziko mikononi mwao siku zote. Ukiwa mtumiaji wa huduma za hiyo mitandao tambua ya kwamba haupo kwenye maficho, kila kitu unachokifanya watekaji wanakiona.
Ryclebin
 
Msichokijua ni kwamba hata hayo makampuni ya kutoa huduma za mitandao ya simu yanamilikiwa na hao Mawakala wa Siri wa shughuli za utekaji. That's why taarifa zote kabisa za wateja wa mitandao hiyo huwa ziko mikononi mwao siku zote. Ukiwa mtumiaji wa huduma za hiyo mitandao tambua ya kwamba haupo kwenye maficho, kila kitu unachokifanya watekaji wanakiona.
Na wale vibosile kwenye hayo makampuni wengi ni mawakala wao,,,,kuna nafasi hawezi akapewa mtu yeyote tu kama sio wa upande wao.....
 
Kwa hiyo anataka Rostam Aziz amlipe 28 bill.?
 
Na wale vibosile kwenye hayo makampuni wengi ni mawakala wao,,,,kuna nafasi hawezi akapewa mtu yeyote tu kama sio wa upande wao.....
Ni KWELI kabisa, na hata ukiwa Mwajiriwa wa kawaida kwenye hayo Makampuni unapaswa kuwa mwangalifu Sana Tena Sana. Usipende kuwaamini kirahisi 'wahusika Wamiliki' wa hayo makampuni, wengi wao wapo huko kimkakati Sana. Ukijichanganya utakuwa umepotea mazima. Suala kama hili ndilo lililomponza jamaa mmoja ambaye aliuawa kinyama sana mchana kweupe pale makutano ya Barabara pale Mwenge Dsm miaka kadhaa iliyopita, wauaji walichukua bahasha tu yenye 'documents nyeti' na kuacha fedha kiasi kadhaa zilizokuwemo ndani ya gari yake. Tena aliuawa huku Traffic Police wakiwa jirani kabisa wakiwa wanaendelea kuongoza magari hapo kwenye makutano/mataa ya Mwenge.
 
Nasubiri nione mwisho wake! Hivi polisi kama walihitaji mawasiliano ya Kabendera kutoka kampuni ya mawasiliano ingeliwezaje kuzuia ?
 
Nasubiri nione mwisho wake! Hivi polisi kama walihitaji mawasiliano ya Kabendera kutoka kampuni ya mawasiliano ingeliwezaje kuzuia ?
Katika nchi za wenzetu waliostaarahika, jambo kama hili lisingewezekana, kwa sababu Polisi wangepaswa kuwa na Kibali Cha Mahakama ili waweze kupatiwa taarifa binafsi za mawasiliano ya ki-electronic ya mtumiaji wa mitandao ya mawasiliano ya simu.
 
Kabisa..yeye ndio alishadadia sana, kumkandamiza Kabendera na maandiko yake ya umbea. 😀 😀
Na bado hakuambulia hata moja miongoni mwa teuzi.
Tajiri wa mikosi bin bahati mbaya huyu.
 
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeitaka Kampuni ya Huduma za Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom, kufika Mahakamani na kuwasilisha nyaraka za Utetezi wake katika Kesi ya madai iliyofunguliwa Mwandishi wa Habari Eric Kabendera.

Kupitia kesi hiyo, Kabendera anaidai Vodacom Tsh. Bilioni 28 akiituhumu kampuni hiyo kuchangia kutekwa kwake.

Screenshot_2024-07-02-23-15-12-505_com.instagram.android-edit.jpg

 
Magu hakua na hatari kiviile wenye hatari zao wapo...... Fatatilia miaka ya 2007 kuna gari ilitekwa ya kampuni moja ivi kumbe ilikua na mtego dereva akaamuliwa aendelee na plan b njiani akakamatwa kesi kuanza akaamua kumwaga mboga sasa wahusika na genge lao ndo balaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Chacha wangwe? Mbona Mbowe yupo hakuwahi shtakiwa kwa murder case? In fact chadema wenyewe waliomba post mortem ifanyike na wachunguzi huru kutoka nje ila serikali ikakataa? Walikua wanaficha nini kama wahusika ni hao kina Mbowe?

Rudini mtunge uongo mwingine huu ulichuja na ili kuonyesha hilo chadema ikabeba jimbo hilo na baadae halmashauri nzima ya Tarime!! So wakurya walipuuza hizo propaganda.
 
Back
Top Bottom