Tenga aliunda taasisi za kuendesha mpira wetu Karia kaifanya TFF iwe na matokeo chanya zaidi.Ila kuongoza mpira kwa nchi ambazo siasa zinaathiri utendaji ni changamoto sana.
Binafsi Tenga ningetamani aendelee uongozi kwa vipindi vingi zaidi, maana jamaa alipiga kazi sana.
Hakuna nisichokijua 'Tanzania' hii Mkuu.We jamaa bana dah!
Sijui unatoaga wapi hizi habari!
Tenga aliunda taasisi za kuendesha mpira wetu Karia kaifanya TFF iwe na matokeo chanya zaidi.
Waongeze programmes nyingi za kuzalisha makocha wengi zaidi tutaanza kupiga hatua
Even ' Upstairs ' he's very Brainy indeed.oscar oscar wa instagram na huyu aliyechukua fomu ni watu wawili tofauti ata ukimsikilza akiwa redioni jamaa ana madini kichwani ya mpira
Hakuna nisichokijua 'Tanzania' hii Mkuu.
kweli kabisaEven ' Upstairs ' he's very Brainy indeed.
Hivi nchi za Africa Magharibi huwa zina umitashumita na umiseta ?Swala la michezo kurudishwa mashuleni, kama kipindi kile Umishumta na Umiseta, pia sports academies walau kwa kila mkoa na zipate talents kutoka mashuleni (yaani merit ibase kwenye talent).
Au kama siyo academies kuwa na shule ambazo ni special kwa michezo mfano wa Makongo ya Kipingu
Sifa yangu Kuu ni Kujichanganya na Makundi mbalimbali na ya kila Rika Tanzania hii na naweza Kuingia sehemu usiyoitarajia na nikapata nikitakacho ( Kimazingira ) bila Kuchukua Nyaraka yoyote ile au hata Kupiga Picha kwani Ubongo wangu na Zawadi kubwa ya Kukariri Kitu na Kushika Jambo na likakaa Akilini mwangu daima ni mkubwa sana.Hongera Mkuu, maana naona una taarifa ambazo hata wahusika wanaweza kuwa hawazijui.
Hiki ndiyo kipimo cha ukweli wa ninachosema?Tusingeona hata comments zako kwenye huu uzi
Hivi nchi za Africa Magharibi huwa zina umitashumita na umiseta ?
Watu wengi hasa ( Shallow Minded wa Mfano wako ) hamjui Oscar Oscar anadhamiria kufanya nini, ana Mkakati gani na kwanini Jana kajitosa katika ' Kinyang'anyiro ' hiki ( hicho )Anataka akafanye Komedi huko....
Sifa yangu Kuu ni Kujichanganya na Makundi mbalimbali na ya kila Rika Tanzania hii na naweza Kuingia sehemu usiyoitarajia na nikapata nikitakacho ( Kimazingira ) bila Kuchukua Nyaraka yoyote ile au hata Kupiga Picha kwani Ubongo wangu na Zawadi kubwa ya Kukariri Kitu na Kushika Jambo na likakaa Akilini mwangu daima ni mkubwa sana.
Mwisho kabisa Silaha yangu Kuu ( Kubwa ) inayonifanya GENTAMYCINE nijue Mambo mengi nje ya kuwa ni " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " kama ' nilivyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ni kupenda mno Kujifanya Ngumbaru ( Mjinga ) na Popoma ( Mpumbavu ) ambapo Watu wengi ' hunidharau ' na ' kunipuuza ' mno hivyo Kunirahisishia katika yale niyafanyayo na ninayotaka Kuyajua kisha bila Hiyana nawaleteeni ( nawabwagieni ) hapa Jamvini JamiiForums.
Nashukuru.Hongera sana.
game changer, entertainer, charismatic fela, antibiotic agent [emoji23]Oscar Oscar ndiye amemuiga huo Mtindo Maulid Kitenge na siyo Siri Mtu aliyembadilisha na Kumtambulisha katika dunia hii ya Kisasa Oscar Oscar ni Maulid Kitenge na Vitu vingi ( hasa vya Kimaisha ) avifanyavyo Oscar Oscar anamuiga Maulid Kitenge ambaye huko nyuma walikuwa ni ' Washkaji ' wakubwa sana ila kwa sasa Urafiki wao uko Rehani ( si ule tena ) kwani kuna Mgodi Mmoja wa ' Kibaiolojia ' wanauchimba wote na huo Mgodi umetokea ' Kumkubali ' zaidi Mchimbaji Oscar Oscar.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaani huyu hyo laki 5 yakeWatampiga fitna amuulize Shaffih Dauda
Hii alikua nayo Millard Ayo kitambo SanaYeye Oscar na Kitenge wanapenda mno kuwa na Earphone muda wote sijui kwanini...!
Kwani Karia hajawahi kuongoza Simba kwenye nafasi yeyote?Hata kama hana timu lakini lazima watamtuhumu kuwa ana timu kama si Simba SC basi Yanga SC.
Karia yeye alisema timu yake Coastal Union.