Mwandishi wa EATV ambaye jana alikamatwa kwenye maandamano ya CHADEMA siku ya jana, amezungumza kwenye kipindi cha The Drive ambapo alisehoji kuhusu kukamatwa kwake na jinsi ambavyo baadhi ya askari wa jeshi la polisi lilimkataza kupiga simu kuwataarifu watu wake kuwa amekamatwa.
Mwandishi wa EATV ambaye jana alikamatwa kwenye maandamano ya CHADEMA siku ya jana, amezungumza kwenye kipindi cha The Drive ambapo alisehoji kuhusu kukamatwa kwake na jinsi ambavyo baadhi ya askari wa jeshi la polisi lilimkataza kupiga simu kuwataarifu watu wake kuwa amekamatwa.
sijui wanatafuta nini hawa,,,mimi nipo huru,nina uhuru wa kunywa gongo,mnazi na kunusa ugoro,,,wakazi wa masaki wanauhuru wa kuvuta unga na shisha,arusha wana uhuru wa kuvuta scanka,sasa 2nataka uhuru gani kuliko huo???
sijui wanatafuta nini hawa,,,mimi nipo huru,nina uhuru wa kunywa gongo,mnazi na kunusa ugoro,,,wakazi wa masaki wanauhuru wa kuvuta unga na shisha,arusha wana uhuru wa kuvuta scanka,sasa 2nataka uhuru gani kuliko huo???