Mwandishi wa Habari Furaha Simchimba na Wengine Wawili Wafariki Katika Ajali Mbeya

Mwandishi wa Habari Furaha Simchimba na Wengine Wawili Wafariki Katika Ajali Mbeya

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Watu watatu wamefariki dunia akiwamo mwandishi wa habari wa kujitegemea mkoani Mbeya, Furaha Simchimba katika ajali iliyotokea mkoani humo ikihusisha basi la Kampuni ya CRN na gari la Serikali.

Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Februari 25, 2025 katika eneo la Shamwengo wilayani Mbeya ambapo inadaiwa basi lilikuwa likilipita gari la Serikali bila kuchukua tahadhari na kusababisha ajali iliyosababisha vifo hivyo na majeruhi saba.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Wilbert Siwa amethibitisha kutokea ajali hiyo akieleza kuwa kati ya majeruhi saba, wawili wapo mahututi na wengine wameruhusiwa.

Soma Pia: Mbeya: Watu watatu Wafariki na wengine tisa wajeruhiwa katika ajali ya gari na bajaji

"Vifo ni vitatu akiwamo mwandishi wa kujitegemea na wengine wawili ambapo tutaendelea kutoa taarifa kadri tunavyopata," amesema Kamanda Siwa.

Kwa upande wake Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani hapa, Christopher Uhagile amesema ajali hiyo imetokea wakati wakitoka kumsindikiza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Fadhil Rajabu aliyekuwa na ziara mkoani humo.

Screenshot 2025-02-25 235758.png
 
Madereva wengine huwa hawana akili timamu kutokana na vilevi wanavyotumia. Utakuta kabisa dereva anaona kuna uwezokana wa kutokea ajili barabarani lakini anakuwa mzembe hachukui tahadhari kupishana au kulipita gari la mbele yake
 
Watu watatu wamefariki dunia akiwamo mwandishi wa habari wa kujitegemea mkoani Mbeya, Furaha Simchimba katika ajali iliyotokea mkoani humo ikihusisha basi la Kampuni ya CRN na gari la Serikali.

Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Februari 25, 2025 katika eneo la Shamwengo wilayani Mbeya ambapo inadaiwa basi lilikuwa likilipita gari la Serikali bila kuchukua tahadhari na kusababisha ajali iliyosababisha vifo hivyo na majeruhi saba.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Wilbert Siwa amethibitisha kutokea ajali hiyo akieleza kuwa kati ya majeruhi saba, wawili wapo mahututi na wengine wameruhusiwa.

Soma Pia: Mbeya: Watu watatu Wafariki na wengine tisa wajeruhiwa katika ajali ya gari na bajaji

"Vifo ni vitatu akiwamo mwandishi wa kujitegemea na wengine wawili ambapo tutaendelea kutoa taarifa kadri tunavyopata," amesema Kamanda Siwa.

Kwa upande wake Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani hapa, Christopher Uhagile amesema ajali hiyo imetokea wakati wakitoka kumsindikiza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Fadhil Rajabu aliyekuwa na ziara mkoani humo.

View attachment 3249571

Inalilah wainailah rajiun.
 
Huyo Dereva alikuwa anakimbilia wapi?
Mungu ametupa akili, lakini mbona tunazitumia vibaya. Hizi ajali nyingine ni za uzembe sana, anyway R.I.P (nguvu nyingine ya Taifa imeondoka).​
 
Watu watatu wamefariki dunia akiwamo mwandishi wa habari wa kujitegemea mkoani Mbeya, Furaha Simchimba katika ajali iliyotokea mkoani humo ikihusisha basi la Kampuni ya CRN na gari la Serikali.

Ajali hiyo imetokea leo Jumanne Februari 25, 2025 katika eneo la Shamwengo wilayani Mbeya ambapo inadaiwa basi lilikuwa likilipita gari la Serikali bila kuchukua tahadhari na kusababisha ajali iliyosababisha vifo hivyo na majeruhi saba.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Wilbert Siwa amethibitisha kutokea ajali hiyo akieleza kuwa kati ya majeruhi saba, wawili wapo mahututi na wengine wameruhusiwa.

Soma Pia: Mbeya: Watu watatu Wafariki na wengine tisa wajeruhiwa katika ajali ya gari na bajaji

"Vifo ni vitatu akiwamo mwandishi wa kujitegemea na wengine wawili ambapo tutaendelea kutoa taarifa kadri tunavyopata," amesema Kamanda Siwa.

Kwa upande wake Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani hapa, Christopher Uhagile amesema ajali hiyo imetokea wakati wakitoka kumsindikiza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Fadhil Rajabu aliyekuwa na ziara mkoani humo.

View attachment 3249571
Wapumzike kwa amani
 
Nimeona hii taarija kwenye social media tofauti.
kuna mtu mmoja kaandika

Ivi kwanin nikiona taarifa za viongoz wa ccm wamekufa huwa napata amani moyoni mwangu au niko na shida kidogo moyoni?😮
 
Few days ago eneo hilo hilo kumetokea ajali ya malori kugongana na kuwaka moto. Overspeeding kills . Lakini pia barabara za mbeya ni mbovu sana kuanzia igawa hadi tunduma na askari wanachukua sana rushwa sana.
 
Back
Top Bottom