Mwandishi wa Habari Furaha Simchimba na Wengine Wawili Wafariki Katika Ajali Mbeya

Mwandishi wa Habari Furaha Simchimba na Wengine Wawili Wafariki Katika Ajali Mbeya

Few days ago eneo hilo hilo kumetokea ajali ya malori kugongana na kuwaka moto. Overspeeding kills . Lakini pia barabara za mbeya ni mbovu sana kuanzia igawa hadi tunduma na askari wanachukua sana rushwa sana.
 

Attachments

  • Screenshot_2025-02-12-15-29-22-1.png
    Screenshot_2025-02-12-15-29-22-1.png
    649 KB · Views: 1
Gari la serikali lilikuwa linafanya nini ???? Najiuliza tu kwa uelewa wangu mdogo

"Kwa upande wake Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani hapa, Christopher Uhagile amesema ajali hiyo imetokea wakati wakitoka kumsindikiza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Fadhil Rajabu aliyekuwa na ziara mkoani humo"
 
Back
Top Bottom