Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa hovyo kwetu ila nchi yao ina muhimu kwa Marekani kuliko sisi kisoko, na kimkakati. Makampuni yao makubwa yanalivizia soko la Indiasafi kabisa TRUMP, wahindi watu wa hovyo sana
Ni kweli hamuelewi, hata wabongo wengi unaofikiri wanajua na kuongea English wakiingia unyamwezini ni aibu tupu na hakuna mtu anawaelewaAlikwepa tu kujibu akaamua amkatishe tamaa mtangazaji
Ubaguzi wa rangi unaanzaga hivyo!Issue sio hajui kiingereza sema jamaa kampuuza tu.........ni kweli wahindi wana toni yao kwenye matamshi ........ila hata kama ni wewe umekutana na mtu hajui kiswahili vizuri ila anakuongelesha huwezi kujua shida yake hata kama hatumii lafudhi nzuri??
Mkuu, usiombe kusikia Inglishi ya Wabongo; sidhani kama utaweza kula wiki nzima.Kiingereza cha wahindi ni kama cha wakenya.
Hisia zako. Trump kasema haelewi achoongea mwandishi - suala la lugha; wewe unakimbilia ubaguzi wa rangi wakati wote wawili ni weupe! Seems wewe ndiye mwenye vi-elements vya ubaguzi.That's racism! Trump ni racist
Ninyi si miongoni mwa English speaking countries ?Mkuu, usiombe kusikia Inglishi ya Wabongo; sidhani kama utaweza kula wiki nzima.
muda brother, aandike swali wamsomehee wezake kusikiliza kisichoeleweka ni kupoteza MUDA(labda mtoto mdogo ambaye mzazi hutenga MUDA wazungumze hata kama haeleweki)Issue sio hajui kiingereza sema jamaa kampuuza tu.........ni kweli wahindi wana toni yao kwenye matamshi ........ila hata kama ni wewe umekutana na mtu hajui kiswahili vizuri ila anakuongelesha huwezi kujua shida yake hata kama hatumii lafudhi nzuri??