TANZIA Mwandishi wa Habari wa siku nyingi, Jacob Kambili afariki dunia

TANZIA Mwandishi wa Habari wa siku nyingi, Jacob Kambili afariki dunia

Joined
Oct 27, 2019
Posts
62
Reaction score
45
Mwandishi wa Habari mkongwe ambaye amewahi kufanya kazi, sehemu mbalimbali na hatimae akafanya kazi UTPC chini yangu mimi, amefariki dunia jana asubuhi kwenye hospitali ya rufaa ya Bugando Jijini Mwanza.

Mipango ya mazishi yake tutawaarifuni baadaye leo. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.

========

Umoja wa klabu za waandishi wa habari Tanzania(UTPC) unasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa mfanyakazi wa UTPC, Jacob Kabili kilichotokea tarehe 29/7/2020 katika hospitali ya rufaa ya Bugando baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Kambili.PNG

Marehemu Jacob Kambili enzi za uhai wake


Tanzia.jpg

Mwandishi mkongwe Bw. James Nhende akizungumza jambo kuhusu namna alivyofanya kazi na Jacob Kambili mpaka kufikia kustaafu akiwa UTPC
 
"Bwana alitoa, Bwana ametwaa" ni kama kejeli kwa wafiwa na wapendwa wa marehem.
 
Huyo jamaa atakuwa muhaya tu maana sio kwa kupenda misifa hiyo
 
Tujifunze kwa msiba huu, tuache dhambi, sisi wakristo hatuombei marehemu maana baada ya kifo ni hukumu, mambo ya kuombea marehemu ni ibada za wafu ambzo Mungu anazipinga
 
Tujifunze kwa msiba huu, tuache dhambi, sisi wakristo hatuombei marehemu maana baada ya kifo ni hukumu, mambo ya kuombea marehemu ni ibada za wafu ambzo Mungu anazipinga

Lakini sanamu unaliomba? Pia unamuomba mwanadamu mwenzio akusamehe dhambi!
 
Lakini sanamu unaliomba? Pia unamuomba mwanadamu mwenzio akusamehe dhambi!
huo ndio ujinga uliopitiliza, Mungu pekee bila kupitia kwa mtu yeyote ndio nasamehe dhambi, .
Sanamu ni uchawi kama tu ule wa kina kigwangala.
 
huo ndio ujinga uliopitiliza, Mungu pekee bila kupitia kwa mtu yeyote ndio nasamehe dhambi, .
Sanamu ni uchawi kama tu ule wa kina kigwangala.


“Utuongezee Imani ee Bwana, Salamu Maria,…. Utuongezee matumaini ee Bwana, Salamu Maria,…. Uwashe nyoyo zetu kwa mapendo yako ee Bwana, Salamu Maria, …..”
Au;
“Salamu e uliyechaguliwa na Mungu Baba, Salamu Maria,….. Salamu e Mama wa Mungu Mwana, Salamu Maria,….. Salamu e Mchumba wa Mungu Roho Mtakatifu, Salamu Maria,……”
Nk.

Mchumba wa mungu hapo ni nani?
 
“Utuongezee Imani ee Bwana, Salamu Maria,…. Utuongezee matumaini ee Bwana, Salamu Maria,…. Uwashe nyoyo zetu kwa mapendo yako ee Bwana, Salamu Maria, …..”
Au;
“Salamu e uliyechaguliwa na Mungu Baba, Salamu Maria,….. Salamu e Mama wa Mungu Mwana, Salamu Maria,….. Salamu e Mchumba wa Mungu Roho Mtakatifu, Salamu Maria,……”
Nk.

Mchumba wa mungu hapo ni nani?
hiyo hapo juu ni "ibada ya Sanamu"
Wa-Kristo "tunajua Yesu ni Mungu na alitabiriwa miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwake na Isaya .
Maria alichaguliwa tu na Mungu-baba ili Yesu azaliwe kupitia kwake lakini si kwa mbegu za kiume za Yusuph ndio maana hawakufanya sex na kuzaa bali mimba iliingia kwa uwezo wa roho mtakatifu.

Sasa baada ya Yeu kuzaliwa na kufa-kufufuka, aliondoka na Maria aliolewa na Yusuph na walizaa watoto wengine kwa njia ya SEX/kama mimi na wewe tulivyozaliwa baada ya wazazi wetu kufanya sex.
Sasa mtu aliyezaa watoto zaidi ya wanne anakuwaje bikra?
pili, Maria kama wanadamu wengine, hakupaishwa mbingiuni ila alikufa na anasubiri hukumu kama vile mimi na wewe tunavyosubiri kaka tukifa.
 
hiyo hapo juu ni "ibada ya Sanamu"
Wa-Kristo "tunajua Yesu ni Mungu na alitabiriwa miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwake na Isaya .
Maria alichaguliwa tu na Mungu-baba ili Yesu azaliwe kupitia kwake lakini si kwa mbegu za kiume za Yusuph ndio maana hawakufanya sex na kuzaa bali mimba iliingia kwa uwezo wa roho mtakatifu.

Sasa baada ya Yeu kuzaliwa na kufa-kufufuka, aliondoka na Maria aliolewa na Yusuph na walizaa watoto wengine kwa njia ya SEX/kama mimi na wewe tulivyozaliwa baada ya wazazi wetu kufanya sex.
Sasa mtu aliyezaa watoto zaidi ya wanne anakuwaje bikra?
pili, Maria kama wanadamu wengine, hakupaishwa mbingiuni ila alikufa na anasubiri hukumu kama vile mimi na wewe tunavyosubiri kaka tukifa.

Umekoti na marangi mabaya je hiyo ibada ya sanamu anaifanya nani?
 
Huyo jamaa atakuwa muhaya tu maana sio kwa kupenda misifa hiyo

Alifanya kazi chini yako wewe ni nani tuanzie hapo kwanza
[/QUOTE]
mleta habari pamoja na kuwa ni mwandishi wa siku nyingi wa habari pia ni Mkurugenzi wa umoja wa vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC)
 
hiyo hapo juu ni "ibada ya Sanamu"
Wa-Kristo "tunajua Yesu ni Mungu na alitabiriwa miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwake na Isaya .
Maria alichaguliwa tu na Mungu-baba ili Yesu azaliwe kupitia kwake lakini si kwa mbegu za kiume za Yusuph ndio maana hawakufanya sex na kuzaa bali mimba iliingia kwa uwezo wa roho mtakatifu.

Sasa baada ya Yeu kuzaliwa na kufa-kufufuka, aliondoka na Maria aliolewa na Yusuph na walizaa watoto wengine kwa njia ya SEX/kama mimi na wewe tulivyozaliwa baada ya wazazi wetu kufanya sex.
Sasa mtu aliyezaa watoto zaidi ya wanne anakuwaje bikra?
pili, Maria kama wanadamu wengine, hakupaishwa mbingiuni ila alikufa na anasubiri hukumu kama vile mimi na wewe tunavyosubiri kaka tukifa.
Una ushahidi kwamba alizaa watoto wengine? Una ushahidi kwamba wakati anabeba mimba ya Yesu hakuwa Bikra? Una ushahidi kwamba Wakatoliki wanakosea kumsema hakuwa na dhambi ya asili?
 
Back
Top Bottom