Mwandishi wa Habari wa The Guardian anadai amepigwa na Walimu baada ya kupiga picha Wanafunzi wakisoma chini ya miti

Mwandishi wa Habari wa The Guardian anadai amepigwa na Walimu baada ya kupiga picha Wanafunzi wakisoma chini ya miti

Mwandishi wa habari Hakuwa sahihi:
1. Kwenda kupiga picha shuleni bila kibali maalumu ni kosa.
- kajitetea kuwa alikuwa mbali na walipokuwa wanafunzi, kwanini avizie badala ya kwenda moja kwa moja na kujitambulisha kwa uongozi wa hiyo shule?

2. Amekiri kuzisambaza hizo picha jambo linaloenda kinyume na Sheria ya makosa ya kimtandao ya mwaka 2015.

NB: SITETEI UZEMBE WA SERIKALI KATIKA UHABA NA UBOVU WA MIUNDOMBINU YA SHULE, ILA NAMNA MWANDISHI ALIVYOFANYA YUKO KINYUME NA SHERIA.
Well said
 
Nimeona ujumbe huu ukisambaa kwenye mitandao ya kijamii pamoja na picha husika, nikaona niusogeze hapa ili Wadau watie neno.....

Mimi ni Dickson Ng'hily Mhariri wa Biashara na Mkuu wa Kitendo cha Digital The Guardian

Wakuu hamjambo.. Nimekamatwa na Walimu wa Shule ya Msingi Kwembe, Kata ya Kwembe, Wilaya ya Ubungo wakaanza kunipiga na kisha wakaagiza Wanafunzi waanze kunishambulia kwa kunipiga baada ya kunikuta nikipiga picha Wanafunzi wanasomea nje na chini ya mti.

Baada ya wao kuniumiza wamenipeleka Serikali ya Mtaa, yakatokea mabishano wakitaka nifute picha nilizopiga ndio waniachie.

Walioona nimegoma wakaamua kunileta Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Ubungo. Wakaninyang'anya kitambulisho na simu, ila simu zilipokuwa zikipigwa walinipa nipokee, nikatumia muda huo kuwa nazituma sehemu picha bila wao kujua.

Baada ya mabishano marefu ambayo pia yalihusisha DAS ambaye naye aliingilia baada ya kupewa maelekezo na DC mbaye hakuwepo eneo la tukio, wakaniambia nifute picha ndio waniruhusu niondoke.

Hoja yao waliniambia nimepiga simu Watoto na nikiwa eneo la shule, nikawaeleza kuwa sikuwa eneo la shule, nilikuwa mbali kabisa na Shule na hata mtu akisema atambue sura ya mtoto au Mwanafunzi hawezi kumtambua kutoka na umbali.

Mimi niliamua kupiga picha kwa kuwa nimekuwa nikiona wanakaa chini ya miti mara kwa mara, hivyo nikachukua kwa umbali ili niweze kutumia kwenye matumizi yangu ya baadaye.

Wameniumiza na wameharibu simu yangu sehemu ya kioo lakini sina mpango wa kuwashtaki kwa kuwa naamini nilichokuwa nakifanya ni kwa ajili ya Taifa na faida kwa haohao Wanafunzi walioambiwa wanipige.



Tamko la THRDC ~ THRDC yakemea Mwandishi wa Habari kukamatwa kwa kupiga picha Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kwembe wakisoma chini ya mti
Maeneo ya shule ya msingi Kwembe hayo
 
Nimeona ujumbe huu ukisambaa kwenye mitandao ya kijamii pamoja na picha husika, nikaona niusogeze hapa ili Wadau watie neno.....

Mimi ni Dickson Ng'hily Mhariri wa Biashara na Mkuu wa Kitendo cha Digital The Guardian

Wakuu hamjambo.. Nimekamatwa na Walimu wa Shule ya Msingi Kwembe, Kata ya Kwembe, Wilaya ya Ubungo wakaanza kunipiga na kisha wakaagiza Wanafunzi waanze kunishambulia kwa kunipiga baada ya kunikuta nikipiga picha Wanafunzi wanasomea nje na chini ya mti.

Baada ya wao kuniumiza wamenipeleka Serikali ya Mtaa, yakatokea mabishano wakitaka nifute picha nilizopiga ndio waniachie.

Walioona nimegoma wakaamua kunileta Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wa Ubungo. Wakaninyang'anya kitambulisho na simu, ila simu zilipokuwa zikipigwa walinipa nipokee, nikatumia muda huo kuwa nazituma sehemu picha bila wao kujua.

Baada ya mabishano marefu ambayo pia yalihusisha DAS ambaye naye aliingilia baada ya kupewa maelekezo na DC mbaye hakuwepo eneo la tukio, wakaniambia nifute picha ndio waniruhusu niondoke.

Hoja yao waliniambia nimepiga simu Watoto na nikiwa eneo la shule, nikawaeleza kuwa sikuwa eneo la shule, nilikuwa mbali kabisa na Shule na hata mtu akisema atambue sura ya mtoto au Mwanafunzi hawezi kumtambua kutoka na umbali.

Mimi niliamua kupiga picha kwa kuwa nimekuwa nikiona wanakaa chini ya miti mara kwa mara, hivyo nikachukua kwa umbali ili niweze kutumia kwenye matumizi yangu ya baadaye.

Wameniumiza na wameharibu simu yangu sehemu ya kioo lakini sina mpango wa kuwashtaki kwa kuwa naamini nilichokuwa nakifanya ni kwa ajili ya Taifa na faida kwa haohao Wanafunzi walioambiwa wanipige.



Tamko la THRDC ~ THRDC yakemea Mwandishi wa Habari kukamatwa kwa kupiga picha Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kwembe wakisoma chini ya mti
Unaowatetea ndio wanaokushambulia. Hii nchi ina safari ndefu sana. Nakumbuka awamu iliopita kuna picha za shule kama hio Ubungo zilisambaa wale wehu kwa kumuogopa JPM walijenga ile shule ndani ya wiki nafikiri. Sasa labda na hii picha italeta mwamko hio shule ijengwe. Imagine ndani ya Dar watoto wanasoma chini ya miti,je huko kwetu Sitimbi?
 
Mwandishi wa habari Hakuwa sahihi:
1. Kwenda kupiga picha shuleni bila kibali maalumu ni kosa.
- kajitetea kuwa alikuwa mbali na walipokuwa wanafunzi, kwanini avizie badala ya kwenda moja kwa moja na kujitambulisha kwa uongozi wa hiyo shule?

2. Amekiri kuzisambaza hizo picha jambo linaloenda kinyume na Sheria ya makosa ya kimtandao ya mwaka 2015.

NB: SITETEI UZEMBE WA SERIKALI KATIKA UHABA NA UBOVU WA MIUNDOMBINU YA SHULE, ILA NAMNA MWANDISHI ALIVYOFANYA YUKO KINYUME NA SHERIA.
Una uhakika wangemruhusu kupiga picha? Ingekuwa ni watu wakumruhusu wasingemshambulia.
 
Ila hii Nchi, pamoja na Kodi kubwa tunayokusanya pamoja na Mikopo Chefuchefu tunayokopeshwa huko Duniani, tunashindwa kutenga shilingi 40 kujenga Chumba cha darasa kuweza kuwafanya watoto wetu kusoma Kwa Utulivu.

Hata Halmashauri ya Wilaya, si inaweza kutenga hiyo fedha kupitia mapato yake ya ndani?

Kweli aliyeturoga ametuweza haki ya nani🙌
 
Hawawezi kuficha ukweli kwa kupiga waandishi ni aibu sana wajenge madarasa waache anasa kununua magari kifahari.....na safari posho za kila siku semina tuuuuuu
 
Back
Top Bottom