Mwandishi wa Habari wa The Guardian anadai amepigwa na Walimu baada ya kupiga picha Wanafunzi wakisoma chini ya miti

Well said
 
Maeneo ya shule ya msingi Kwembe hayo
 
Unaowatetea ndio wanaokushambulia. Hii nchi ina safari ndefu sana. Nakumbuka awamu iliopita kuna picha za shule kama hio Ubungo zilisambaa wale wehu kwa kumuogopa JPM walijenga ile shule ndani ya wiki nafikiri. Sasa labda na hii picha italeta mwamko hio shule ijengwe. Imagine ndani ya Dar watoto wanasoma chini ya miti,je huko kwetu Sitimbi?
 
Una uhakika wangemruhusu kupiga picha? Ingekuwa ni watu wakumruhusu wasingemshambulia.
 
Ila hii Nchi, pamoja na Kodi kubwa tunayokusanya pamoja na Mikopo Chefuchefu tunayokopeshwa huko Duniani, tunashindwa kutenga shilingi 40 kujenga Chumba cha darasa kuweza kuwafanya watoto wetu kusoma Kwa Utulivu.

Hata Halmashauri ya Wilaya, si inaweza kutenga hiyo fedha kupitia mapato yake ya ndani?

Kweli aliyeturoga ametuweza haki ya nani🙌
 
Dar is overpopulated..mihundo msingi haitoshi. Over
 
Hawawezi kuficha ukweli kwa kupiga waandishi ni aibu sana wajenge madarasa waache anasa kununua magari kifahari.....na safari posho za kila siku semina tuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…