Mwandishi wa Jambo TV afokewa vikali kisa kuliza swali tukio la kupigwa risasi Lissu

Mwandishi wa Jambo TV afokewa vikali kisa kuliza swali tukio la kupigwa risasi Lissu

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755

Mwandishi wa Jambo TV amejikuta kwenye wakati mgumu alipokuwa akimuhoji Katibu Mkuu wa Chama cha DP Abdul Mluya, muda mfupi baada ya Mluya ambaye pia ni Mwenyekiti wa umoja wa vyama 13 vilivyotoa tamko la kupinga maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA kumaliza kuzungumza na wanahabari Septemba 17, 2024.

Ilikuwa hivi; katika mkutano huo wa wanahabari waandaaji/wazungumzaji wakiongozwa na Mluya walikataa katakata kuhojiwa swali lolote, hata hivyo Jambo TV iliazimika kumfuata Mluya na kumuomba izungumzenae yeye binafsi (sio kwa umoja wao) na baada ya kumuomba sana ndipo akaridhia.

Soma Pia: Waandishi wawili wa Jambo Tv wakamatwa na Polisi Mbeya akiwa kwenye majukumu yao ya kikazi

Hata hivyo mahojiano hayo hayakufika tamati baada ya mwandishi wa Jambo TV kuhoji kuhusiana na sakata la Tundu Lissu kupigwa risasi, na mashaka ya CHADEMA juu ya vyombo vya uchunguzi nchini.
 
Haipo shaka kuwa Sep 23 ni siku muhimu sana kwetu kama nchi:



Nani asiyetaka kujulikana na hatimaye kutokomezwa kabisa kwa genge tekaji poraji la roho za watu?
 
Back
Top Bottom