Elections 2010 Mwandishi wa TBC aliyeambatana na Dr Slaa

PayGod

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2008
Posts
1,259
Reaction score
60
Hivi mwandishi gani wa TBC yuko kwenye msafara wa Dr SLAA,? maana, lipumba ameambatana na NOELI MWAKALINDILE, Kikwete amepewa pia mwandishi.Naombeni msada wenu .
 
Atakuwa mariniiiiiiiiiiii hasani mariniiiiiiiiiiiii
 
:confused2::confused2:....then what broda?.....angalia isije kuwa jibu la Kigogo likawa limemaliza thread!...
 
Hahaaa i was joking.....sidhani kama kuna mwandishi wa tbc yuko na dr slaa prezidaaa...maaana Sioni kitu kinakuwa reported in details tok a pande hizo
 
Hivi mwandishi gani wa TBC yuko kwenye msafara wa Dr SLAA,? maana, lipumba ameambatana na NOELI MWAKALINDILE, Kikwete amepewa pia mwandishi.Naombeni msada wenu .


Slaa lazima atakuwa amepewa mwandishi kachero. hiyo wala haina shaka.

Lakini hakuna shida. Kwani TBC inasikika mpaka wapi? Kisarawe?

Mimi nina uhakika na 'viwango' vya Chadema.
 
Daah labda ni mwandishi ambaye ndio alikuwa amechukua likizo yake ya mwaka wakamuomba aambatane na Slaa wakati wa likizo, hivo hatakiwi kufanya kazi yake.
 
Daah labda ni mwandishi ambaye ndio alikuwa amechukua likizo yake ya mwaka wakamuomba aambatane na Slaa wakati wa likizo, hivo hatakiwi kufanya kazi yake.
hapo ndipo utagundua kwamba Slaa kawachanganya kwelkwel
 
Mi nahisi ni makamba maana naona anaripoti kweli habari za chadema
 
wakubwa , wakati Dr SLAA alipokuwa anaomba udhamini, walimpa noeli mwakalindile, sasa hana wandishi yoyote ,cause noel yuko na LIPUMBA.ALAFU TIDO anajisifu ETI KILA CHAMA KITAPEWA MUDA WA HEWANI SAWA, KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI
 
Juzi mwandishi wa tbc mkoani manyara aliripoti kuhusu kuharibika kwa chopa , lakini hakuripoti kuhusu mkutano wa chadema ,yaani ukistajabu ya tbc utayaona ya ccm
 
Juzi mwandishi wa tbc mkoani manyara aliripoti kuhusu kuharibika kwa chopa , lakini hakuripoti kuhusu mkutano wa chadema ,yaani ukistajabu ya tbc utayaona ya ccm

.....NCHI HIII HAINA HAKI....TUNATAKIWA TUOMBE MUNGU SANA...WAKATI KIKWETE ANA WAANDISHI WA HABARI KARIBU 50....LIPUMBA KAPEWA WACHACHE..[nadhani kwa ajili ya muafaka...CUF lazima watakuwa karibu zaidi na ccm kuliko CHADEMA kwa sasa..hilo halina ubishi]......SLAA Waandishi aliopewa wanatakiwa waripoti mambo negative tu...kwa hiyo ukiona wiki inapita TBC hawajatangaza habari za Slaa ujuwe there was nothing negative worthy to speak about............
Pia naona of recent CCM wameacha kuandika kuhusu chumbani kwa dr slaa..that is good PR Strategy by CHADEMA ni wazi tunatakiwa kuwashukuru kwani kama wangeamua kuwajibu CCM neno kwa neno..kampeni zingehama kabisa toka kwenye kujadili sera na kuhamia kwenye kujadili chupi za wagombea...

waandishi wa habari tunaomba watoe nafasi sawa kwa wagombea wote..hasa na wamiliki wa hivi vyombo...itakuwa haina sababu kujifanya unapinga ufisadi na kushindwa kuonesha sasa kwa kutoa nafasi sawa..

kuna magazeti yalishakufa kama KULIKONI naona sasa nayo yamefufuka toka kaburini ...yakiwa na wimbo mpya.

fisadi papa na nyangumi wote ni mafisadi tu.....waliokuwa wakilalamika ni kwa sababu ya wivu tu wa wao kukosa fursa ya kukaa karamuni na kula..kama alivyowahi kuasa Cardina Pengo...lakini sasa wapo karamuni...unawaona wote wapo kimiya wanaimba wimbo mmoja na kugongeana bilauri.....

bora mafisadi wanaojipambanua tukawajuwa mapema kuliko mafisadi wanafiki.....
 
Juzi mwandishi wa tbc mkoani manyara aliripoti kuhusu kuharibika kwa chopa , lakini hakuripoti kuhusu mkutano wa chadema ,yaani ukistajabu ya tbc utayaona ya ccm


yaani hapo ndipo napomuona TIdo akili yake imefanana na sura yake ya ulevi wa ulanzi..ananichefua sana huyu mzee
 
Hivi huyu TIDO mbona amebadiliki hivi, mi nadhani si yule wa BBC
 
Nadhani Tido ni uzee una msumbua, eti umesema na Ulevi.....? Ndo maana............. achana nao hao.

Wafanye wafanyacho, mwaka huu hakuna kurudi nyuma. Hata wafunge vyombo vyote vya habari, mwaka huu hatudanganyiki.

Inawezekana kweli wamemtuma mwandishi, mnafiki kama Tido, anayefuatilia tu Negatives za Chadema ndo maana chopa ilipoharibika aliripoti haraka, mbona haripoti taarifa zingine za kampeni? Ila kama atafahamika nani yupo kwenye msafara huo ni vizuri tumfahamu.

Kwa bahati Mgombea watu hadi sasa anaendelea vizuri na ziara yake, bila shaka kila siku huyo mwandishi anaomba litokee jambo baya ili apate cha kuripoti.
 
Mwandishi aliyeambatana na JK ni GABRIEL ZACHARIA, lakini kweli Dr. Slaa.....mhmmm! simjui. Hata alipofika Mwanza juzi Mwandishi wao Richard Leo alipewa maelekezo ya kufuatilia uchaguzi wa Tarime. hivyo kama wa Msafara hayupo na wa Mwanza akitumwa nje ya mwanza maana yake akose Coverage.
 
TBC , WAMPA DR SLAA, MWANDISHI WA HABARI, ambapo leo katika taarifa ya habari ya saa 2, JAFARY HANIU , ameripoti kutoka, Musoma.
 
Wanaumbuka tarrrtiiiib
wanajifanya wanacomply lakini kisago kipo palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…